Mcharo son
JF-Expert Member
- Mar 4, 2015
- 5,950
- 4,816
Na wewe utakuwa umenaswa na pepo la upumbavu; kuasi kanisa maana yake nini; kama sio udini: Mwite fool kama kavunja mapenzi ya mungu na amri zake; sio kwa kete ya udini ama ukanisa. Ukanisa ni kama vyama vya siasa vinavyotafuta kuingia mbinguni;Tehee...teheee...tihii ! Fool ni wewe na huyu mjombako mlio asi Kanisa !:becky:
Mungu hakuagiza ujenge makundi Yeye anatambua watu wake; waweza kuwaita kundi lake au kanisa lake lakini sio hilo waliojiundia wanadamu. mfano Ukatorik, urutheli; na hata uislam ni vya kibinadamu MUNGU HATAMBUI MAKUNDI HAYO BALI LILE LINALOFUATA MAPENZI YAKE. Sasa ni juu yako kulipa jina ulitakalo lakini kundi hilo ni jumla ya binadamu yeyote awe mwarabu, muislamu nk. Katika biblia kundi alitambualo Mungu lifuatalo mapenzi yake linajulikana kama kanisa lake. Sasa pepo la upumbavu limewagawa watu; utakuta katolik anasema ndio hilo kanisa haya mrutheli nae hata mpentekoste anajitambua kuwa kanisa lake ndio mengine sio. UPUMBAVU KUTETEA UDINI NA KUJIONA NYIE SAHIHI WENGINE SIO. MTEGO UPO HAPO!
FUATA MAPENZI YA Mungu yeye ndio atakutambua kuwa upo katika kanisa lake au kwa jina jingine kundi lake atakalo hakikisha linaingia mbinguni. Acha kutetea ufool