Hii humbleness itakuponya.sio kama usipoandika ndio utaonekana mwamba .
Linapokuja swala la mapenzi sisi sote ni wamoja tu.
Napita kwenye situation kama yako mzee
Tumepishana muda tu
Me naenda wiki ya pili hi
Ukweli sana.Ukilia panapoa
Umekwisha atalala na mwingine kama kawaida maana keshajua ushakuwa dhaifu kwake na huna la kumfanya. Mimi nikigundua ameni cheat palepale tunamalizana afuate yake nifuate yangu.Dah. Mkuu kama wewe aisee. Mimi siku 5 zimepita. Sema mi nikaona isiwe shida nikaanzisha Mawasiliano na msamaha nikaomba mimi ingawa sio kosa langu.
Mwisho wa siku we only live once. Maisha mafupi.
Itakuwa umelichoka tundu wewe...😂😂😂😂omba uendelee kujipigia dude lakoUjue nashindwa kuomba msamaha kwasababu hata sijakosa mm!! Unaombaje msamaha na huna makosa
Hii humbleness itakuponya.
Hold on there utakuwa sawa with time.
Ujue nashindwa kuomba msamaha kwasababu hata sijakosa mm!! Unaombaje msamaha na huna makosa
Heheheee.. kibri cha ukoo ninakielewa mkuuNaogopa ataniumiza zaid ataona kama mm ndo nimedoda!!
Shida nna kiburi fulan cha ukooo
Ndio alikutoa bikra ama alikuta njia tayariJf raha sana ninesoma comments nikaishia kucheka tu nyie ni wapuuzi mtu abaandika ya moyoni.
Of cause haya tunayapitia saba kuna wakati zamani kidogo nilikaza nikasema mungu nipe uvumilivu, sijakosea kokote naomba nisimtafute. Alikosea yeye nikajishusha nikaomba msamaha akakaa kimya na mimi nikameza pini😂
Siku ya kwanza ikapita, ya pili ikapita ya tatu ikapita nikafuta no nikasema potelea mbali siwezi jishusha kwa mara ya pili as ifu mm ndo nina shida.
Siku ya nne nikaona anapiga ahaaaaa nikapokea kama vile sitaki, ilacqsingepiga ingeisha hiyo.
Wapuuzi nyie mmenikumbusha mambo ya zamani yalishapita kitambo.😂😂
Ipo siku yako we jisifuNi udhaifu mkubwa sana mwanaume kuteswa na kulia kisa mapenzi.
Nyie watu mpo very weak emotionally. Inakuwaje mnapenda penda mpaka mnaumizwa na kulia lia? Mbona mimi sipo hivyo wakuu?
Mkuu nilishavuka hizo levels siku nyingi sana.Ipo siku yako we jisifu
Oa.sio kama usipoandika ndio utaonekana mwamba .
Linapokuja swala la mapenzi sisi sote ni wamoja tu.
Napita kwenye situation kama yako mzee
Tumepishana muda tu
Me naenda wiki ya pili hi
Pole mkuuNilikuwa naona mafala wanaolia na mapenzi
Nilikuwa naona kama wadhaifu au wana roho za kidada!!
Sasa mgumu yamenikuta. Juzi nimemfuma mpenzi na namba za jamaa kicheche sana hapa mtaani!!
Na nilishasikiaga kama jamaa kapga mademu wote akiwemo huyu mpenzi wangu!!! Nikajua tetesi tu
Tulivoingia kwene mahusiano kanihakikishia niko mwenyewe kwanza mi ndo mpenzi wake wa pili!!
Eeh juzi nimeshika simu yake nikakuta namba imeandikwa jina la yule jamaa nikasala kumuuliza akapanik tukazinguana.
Kila mtu kaenda kivyake!!
Wiki sasa imepta sijamtafuta nimefuta na namba zake !!
Ila naumia aisee !! Kuna namna kanizoesha nai nai ambazo ckua nimezoea!! Sasa najaribu kujiweka busy namsahau sekunde nikikumbuka naaaumia!!! Stress
Kaa zote
Kuna muda nataman anitafute aniombe msamaha yaishe!!ila ndo hivo kanilia buyu
Aisee hamna mgumu mapenzi yanauma
Ninach kiamin mapenz hayachagui umri wala kuangalia levelsMkuu nilishavuka hizo levels siku nyingi sana.
Sawa mkuu.Ninach kiamin mapenz hayachagui umri wala kuangalia levels
Mambo ndivyo yalivyo
Anyway tujipumzishe na hi
Eeehh sasa hizo nyimbo ndo zitakupa uchizi eti
Hata ivo ni mzuri kujipoza uku unamkumbuka dear ex