Madam Mwajuma
JF-Expert Member
- Sep 13, 2014
- 7,076
- 6,774
relax na utulize ubongo ufanye mambo yako. hawa viumbe unaweza hujamuuzi,hujamfanyia ubaya wowote, ukampenda na umasikini wake, ukamheshimu na bado isitoshe yeye kuwa na wewe! haukuwa chaguo lake kampata aliyekuwa anamtafuta basi kubali yaishe unavyolia ndo ananenepa!