Mapenzi yanauma jamani

Mapenzi yanauma jamani

Nenda insta kwa usipojipanga utakuta watu wanakunywa kojo na kunuia kusahau afu wanaleta ushuhuda wamesahau, sijui ya kwel yale. Jaribu afu ulete mrejesho. N.b pole sana.
Mnashauriana mambo ya kijinga.unywe mkojo kama si kujitafutia magonjwa?
 
Been able to let it go does not mean you are weak but you are strong enough to let it go,kabla yake ulikuwa unaishi tena labda vizuri zaidi kuliko kipindi uko nae na baada yake lazima maisha yaendelee,watu wanafiwa na wazazi wao wanasahau sembuse mpenzi tu?jaribu kukumbuka yale mabaya aliyokutendea wakati mpo kwenye mahusiano yenu,then time will heal the pain,muache aende
 
Yaan nimeachwa kwenye mataa mapenzi yanauma jamani yaani nimekaa na huyu mwanaume kwa miaka mitano nimekataa wanaume kibao ambao alikua wanani-approach wakiwa na nia njema nahisi nimechanganyikiwa sielewi wapi pakuanzia.

Nimelia hadi sauti imekauka i regret the day i said yes to him. Wanaume shikamooni sikuwai kudhani kuwa alikua na mahusiano nje, kha nimepata life time lesson wanawake wa humu muwe macho hapa nawaza ningekua nimemzalia daaah ningekua na hali gani nahisi ningechizi.

Hebu wanajammii nishaurini ntamsahauje huyu maana naona kama siwez siku ya nne leo am not myself. Yaan kadiriki kumpa simu mwanamke wake mpya waniambie kuhusu uhusiano wao mapenzi yauma jamani najiuliza nina tatizo gani jaman jaman nitamsahauje huyu.........
Daaaa i seee hali ngumu love iso tyte
 
Pole sana dada, jipe moyo mkuu utapata mwingine, ningekuwa bado cjaoa ningejitolea kuwa na wew!
 
Mahusiano miaka 5 umeng'ang'ana tu, kakufuja wee kaopoa kipya pole sana.

Ntaendelea kuwa single hadi siku ntakayopanda madhabahuni, nikishuka ndo ntaanza kusema taken, huwa mnajipotezea bahati bila sababu za msingi.
 
duh!!! jamaa kajigegedea free papuchi miaka 5. pole sana binti. the lesson hapo is simple mwanaume ndani ya miaka miwili bwana anajua kama wewe mke au sio mke to be. so next relationship hakikisha within 2 yrs jamaa awe ametangaza ndoa.
kuhusu jamaa kuhusu kugegeda nje, am sory to say this but its just something u will have to deal with even in ur next relationship
Kwa hiyo kama ndani ya miaka 2 hajatangaza ndoa hanipendi huyo?
 
Mnashauriwa kuweka ngumu kwenye kutoa papuchi, toa papuchi ukiolewa. Kuna wanaume ambao wanakuwa kwenye uhusiano wanajitambua, wanaona thamani ya mwanamke na wana huruma. Shida nyingine nyinyi dada zangu mnaona mkimnyima mwanaume ataondoka, mwache aende na ujue mwanaume anayekupenda daima atakuwa pamoja nawe.

Mwanamke anayebana anafikiriwa zaidi kuliko anayetoatoa.
Usipotoa papuch unanuniwa mwisho unaachwa na wanaume wote wako hivyo
 
Yaan nimeachwa kwenye mataa mapenzi yanauma jamani yaani nimekaa na huyu mwanaume kwa miaka mitano nimekataa wanaume kibao ambao alikua wanani-approach wakiwa na nia njema nahisi nimechanganyikiwa sielewi wapi pakuanzia.

Nimelia hadi sauti imekauka i regret the day i said yes to him. Wanaume shikamooni sikuwai kudhani kuwa alikua na mahusiano nje, kha nimepata life time lesson wanawake wa humu muwe macho hapa nawaza ningekua nimemzalia daaah ningekua na hali gani nahisi ningechizi.

Hebu wanajammii nishaurini ntamsahauje huyu maana naona kama siwez siku ya nne leo am not myself. Yaan kadiriki kumpa simu mwanamke wake mpya waniambie kuhusu uhusiano wao mapenzi yauma jamani najiuliza nina tatizo gani jaman jaman nitamsahauje huyu.........

Pole sana dada ila nenda duka la dawa ukanunue dawa inaitwa "FORGIVE&FORGET MEN" Hii itakusaidia
 
Dada pole sana,yaliyokupata wewe yalinipata mimi,ingawa mie ni mwanaume.Yupo dada mmoja nilimpenda sana sana,na nilimkuta darasa la 7 nikamsomesha akafika diploma,nikampangia nyumba na nikamtafutia kazi,mie nina mke wangu wa ndoa yeye akawa nyumba ndogo.Tuliishi nae miaka 7 na kila nikimpa mimba anatoa,akaomba nimbunulie gari nikafanya hivyo na kila alichoomba nilijitahidi kumpa.Siku moja alinipigia simu akiwa na mama take mzazi na kuniambia nimkome na kwamba hana shida na mimi bali alikuwa na shida na hela zangu hivyo nisimjue tena.Nilisikia uchungu sana nikamjibu asante.Kila siku nilikuwa namuomba mungu anipe uwezo nimsahau na ansamehe yule dada,baada ya mwaka nilimsahau kabisa na nilipata mdada mwingine ambae tunaishi nae vizuri sana,sasa baaday ya miaka 4 hivi yule dada alipigika ile mbaya sasa hivi yupo tu hapa mjini anafanya vibarua vya kufagia ofisi za watu,nakuomba ujifunze kitu kwenye huu mkasa wangu
mna ruhusiwa kuoa wake wangapi ndugu? maana huyo alekuacha ni nyumba ndogo, we huoni dhambi kumdanganya mumeo
 
Waswahili wanasena mwanaume si baba ako.

Pole sana, maskini kakupotezea muda kweli. Una umri gani sasa maana ukichelewa kuzaa tena ni majanga.
maskini eeh, sasa nishajua kwa sababu mnawekeza kwenye pesa. ningelikua na hasira na nyie ningewanyoosha sana, ila kwa vile nimepewa moyo mwema wenye huruma acha nivungu, niko tayari kutoa somo la kwa nin wanawake wanapenda pesa zaid ya chochote
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom