Haswaa!!Akiwa hajaamua yeye ni ngumu sana, mtakua mnapigia mbuzi gitaa,,,ndo hio dhamira unayosemea sasa,asipokua nayo ni shwaaaa.
Sanaaa!!Yanauma sana
Sahihi kabisa mkuu. Watu wengi hufikiri mtu akikwambia hakupendi anakuchukia. Wakati mwingine ni faida sana kuliko ukae nae na aishie kukudanganya.Polee sana kwa maumivu. Kitu ambacho tunapaswa kukielewa kuwa mahusiano ni hisia. Na unaweza kumpenda mtu na yeye asikupende.Hivyo shukuru amekua muwazi kwako ingali bado mapema. Usiumie wala kufadhaika.
Ukimuangalia hivi kwa mbali anakuja kama karl peters hv😁😁😁Pole sana.
Naomba kujua haya macho ya kihistoria yako namna gani?