Me nakupinga mkuu hii story inaonekana 100% ni ukweli, maana hata me pia nilisoma na nilikua mkorofi sana hata nilipokua nachezea bakora za maticha kamwe ckusema kundi langu na mambo yaliisha kimya.Punguza mihemuko ndugu yangu,Kama unaisoma hii story uburudike au uamishiwe kihisia fine na story iko poa Sana..
For the first time nimetoa chozi tangu kuifahamu JF. Mungu akupe maisha marefu na hongera kwa uaminifu kwenye ndoa yako ya mwanzo.Habari waungwana,
Nawasimulia kwa ufipi kisa changu cha mapenzi ya utotoni ila naanzia nyuma kidogo.
Nilipokuwa kidato cha pili nilikiwa naendela vyema tu na masomo japo sikuwa nafaulu sana, nilikuwa mpole sana na mkimya mno. Siku moja Mwalimu wa kiswahili akasema wanataka kuanzisha kikundi cha ngoma shuleni kwa ajili ya kupokea mwenge maana ulikuwa unalala shuleni kwetu. Basi moja ya
Asante sanaPole sana na hongera sana.
Daaah!pole kipenzi!Nimejikuta nalia eti daaa, kwa kua umeniuliza acha tu nikujibu.
Kifupi mpaka leo sijui alifariki kwa ugonjwa gani, baada ya mimi kurudi shule ndugu nasikia walienda kwa mganga, maana ziliibuka imani za kishirikina kwa upande wa wao. (Alinambia rafiki wa marehemu)
Naomba kuuliza,eti Kulfi ndo nini?Habari waungwana,
Nawasimulia kwa ufipi kisa changu cha mapenzi ya utotoni ila naanzia nyuma kidogo.
Nilipokuwa kidato cha pili nilikiwa naendela vyema tu na masomo japo sikuwa nafaulu sana, nilikuwa mpole sana na mkimya mno. Siku moja Mwalimu wa
Hahaha.... ze-duduMdau tongoza acha kufuatilia jina la mtoto halitakusaidia