Ni story nzuri, sema ndefu, nimeishia njiani!!Habari waungwana,
Nawasimulia kwa ufupi kisa changu cha mapenzi ya utotoni ila naanzia nyuma kidogo.
Nilipokuwa kidato cha pili nilikuwa naendela vyema tu na masomo japo sikuwa nafaulu sana, nilikuwa mpole sana na mkimya mno. Siku moja Mwalimu wa kiswahili akasema wanataka kuanzisha kikundi cha ngoma shuleni kwa ajili ya kupokea Mwenge maana ulikuwa unalala shuleni
Kama hapo umefupisha sijui tungemaliza kusoma lini kama ungeiandika story yoteHabari waungwana,
Nawasimulia kwa ufupi kisa changu cha mapenzi ya utotoni ila naanzia nyuma kidogo.
Nilipokuwa kidato cha pili nilikuwa naendela vyema tu na masomo japo sikuwa nafaulu sana, nilikuwa mpole sana na mkimya mno. Siku moja Mwalimu wa kiswahili akasema wanataka kuanzisha kikundi cha ngoma shuleni kwa ajili ya kupokea Mwenge maana ulikuwa unalala shuleni kwetu. Basi moja ya watu waliochaguliwa na mimi nilichaguliwa kujiunga na kikundi hicho ila
Umeambiwa anafanana na baba yake kwa kila kitu😀😀😀Mwanao asiwe kama baba yake kutembea na wanafunzi wenzake
Dunia ya sasa kumpata mwanaume design ya R ni ngumu mno kweli kweli.
Kama wewe hunaStory tamu, mapenzi ya kweli bado yapo aisee,,, Mungu akukuzie mwanao ,, penye heri baraka huongezeka
Sina nini?km wewe huna