DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 40,485
- 99,196
Nipo mimiDunia ya sasa kumpata mwanaume design ya R ni ngumu mno kweli kweli.
Nipo mimiDunia ya sasa kumpata mwanaume design ya R ni ngumu mno kweli kweli.
You fool! Hii story ya kutunga, sio kweli...labda umsifie anajua uandishi mzuri
Mkuu,Mkuu samahani why unatumia avatar ya Tz One..?!
Yan katika stor bora kwangu iliyonifurahusha na kunihuzunisha ni hii imenigusa ndani kabisa hasa pale alipofariki dah kiukwel nilieka cm pemben mwili ukasisimka nimesoma km unaniadithia fac2fac naiman huyo R angekuepo aseh naiman angekuw mbali kimaendeleo ila pole sana usisahau kumuombea dua km ww ni
Kwa kweli nilimaliza kipindi kirefu bila kuamini kafa nilikua naamini atarudi tu. Nikilala namuota nikiamka naanza kulia niliteseka sana kuweza kuilazimisha nafsi kuwa hayupo.
Na hata mtu alikuwa akitaka mahusiano na mimi nilikuwa naona kama namsaliti R.
Sikuwahi kuwa na mahusiano kabisa, hata kuingia mahusiano hayo mengine bado mwanzo nilikuwa najiona kama msaliti ila baadae nafsi ikaridhia.
Punguza mihemuko ndugu yangu,Kama unaisoma hii story uburudike au uamishiwe kihisia fine na story iko poa Sana..Yan wewe unakipaji cha uchawi aseh roho mbaya itakumaliza naimani majiran zako wanapata shida sana juu yako
R hakua na pesa ila alikua mpambanaji na asie ogopa majukumu. Katikati ya umaskini wake alijivisha ushujaa na kumpambania bint kwa kila hali hata kipesa pia.Hakuna mwanamke asietaka mwanaume kama huyo.Utasikia mtu anajiita star anahubiri eti hakuna ndoa bila hela, mbona hii pisi kali ilidumu katika shida na raha.
Ana miaka 14, yupo kidato cha pili
Ni wapi nimeandika nilikuwa nakaa kijijini?Punguza mihemuko ndugu yangu,Kama unaisoma hii story uburudike au uamishiwe kihisia fine na story iko poa Sana..
Ila Kama unaisoma na kutafakari mapito aliyopitia muhusika katika hyo story utagundua Ni ya kutunga na ukitaka kuaminia fanya review soma kwa utaratibu na ukitafakari na uhalisia...
We pia ni wife material na umeongea kutoka moyoni. Tunashauri vijana kabla hajasema nina pisi kali aangalie content za huyo mtu.R hakua na pesa ila alikua mpambanaji na asie ogopa majukumu. Katikati ya umaskini wake alijivisha ushujaa na kumpambania bint kwa kila hali hata kipesa pia.Hakuna mwanamke asietaka mwanaume kama huyo.
So shida sio pesa shida ni upo tayari kutafuta na kushare na mwenzieo hata hicho kdgo? Tena unashare kwa mapenzi kabisa ukiwa hivi hautaachwa.
Punguza mihemuko ndugu yangu,Kama unaisoma hii story uburudike au uamishiwe kihisia fine na story iko poa Sana..
Ila Kama unaisoma na kutafakari mapito aliyopitia muhusika katika hyo story utagundua Ni ya kutunga na ukitaka kuaminia fanya review soma kwa utar
For instance: kwenye movie ya taitanic ilitakiwa Jack afe ili movie iwe tamu zaidi
A see pole tena we mamaa.Nimejikuta nalia eti daaa, kwa kua umeniuliza acha tu nikujibu.