Natakakutulia
Member
- Jan 20, 2020
- 56
- 384
- Thread starter
- #101
Nina watoto kwa baba wawili tu.Kwa hiyo umeshaolewa na wa wanaume watatu tofauti na unawatoto watatu au zaidi kea baba watatu tofauti
Nina watoto kwa baba wawili tu.Kwa hiyo umeshaolewa na wa wanaume watatu tofauti na unawatoto watatu au zaidi kea baba watatu tofauti
Very sorry. God be with you. Forget a bitter past and embrace a sweet present, ready to overcome a challenging and complicated future. I wish wewe ungekuwa mke wa kaka yangu. Angefika mbali sana.Kuhusu HIV hapana maana alipimwa, na sumu hapana walipima pia. Hilo la mpenzi sijui ila sikuwahi hisi wala kujua kua ana mtu mwingine.
Ni story ya kweli kabisaa ambayo nineishi mimi.Kama ni stori ya kweli nakupongeza mno na pole kwa kufiwa na mmeo/mzazi mwenzio
Pumzika kwa amani R
Mtoto wenu/wako ulimuita jina gani?
Maana ya jina nimeshajibu, nilijisajii jina hili nikiwa katika mapito fulani magumu mno, hii ni miaka mingi baada ya R kufariki nikiwa kwenye mahusiano ya pili ya misukosuko.Ilo jina lako linamaanisha nini???🤔🤔🤔
Au nimeelewa vibaya wajuba
Pole sanaNi story ya kweli kabisaa ambayo nineishi mimi.
Siwezi litaja jina la mtoto hapa, ila jina alipewa na baba yake.
Pole sana.Habari waungwana,
Nawasimulia kwa ufipi kisa changu cha mapenzi ya utotoni ila naanzia nyuma kidogo.
Nilipokuwa kidato cha pili nilikiwa naendela
You fool! Hii story ya kutunga, sio kweli...labda umsifie anajua uandishi mzuriDaah mpaka machozi yamenilenga. Aiseee what a love story. Pole sana kwa kumpoteza baba mtoto wako na hongera kwa kua na copy yake.
Fool mwenyewe. Mbona mtu unaangalia movie na unajua ni movie watu wameigiza lakini inaweza kukutoa machozi.You fool! Hii story ya kutunga, sio kweli...labda umsifie anajua uandishi mzuri
Pole sana, kwa kuwa wewe ni Tomaso njoo PM nikupe uthibitisho ili ujione ulivyo na tatizo.You fool! Hii story ya kutunga, sio kweli...labda umsifie anajua uandishi mzuri
Hujasema kuhusu ukimwiAsante, ni mengi sana sijaandika ila sina cha kusema kibaya dhidi yake.
NimeshakujaPole sana, kwa kuwa wewe ni Tomaso njoo PM nikupe uthibitisho ili ujione ulivyo na tatizo.
Muda wa kutunga story ndefu hivi nautoa wapi?
Mdau tongoza acha kufuatilia jina la mtoto halitakusaidia 😀😀😀Pole sana
Ila unaweza kulitaja wapi jina la mwanao?
Dah.Oooo, hongera. Mimi aliniacha wakati bado namhitaji sana.