Mapenzi ya now days afadhari kutembea na mme wa mtu

Mapenzi ya now days afadhari kutembea na mme wa mtu

Bora kupewa kilema kuliko kunyimwa akili.........
 
Njoo kwangu mie mme wa mtu, ila kupiga simu mwisho saa moja jioni na siku za weekend na sikukuu no kupiga simu mpaka mimi nikupigie,

Utaweza?

teheee tehee

hayo ndio masharti makuu...akiweza hayo bhaasi atamudu kwa akitakacho...
 
Habari wana jf.

Mapenzi ya siku hizi ni majanga mtu anadiriki kukuumiza bila sababu anayokwambia iliyopelekea akuache. Ni afadhari kutembea na mme wa mtu kwa sababu unajua kabisa sio wako.

Ukimwagiwa tindikali ndio akili itakukaa sawa
 
Maneno makali utadhani alichoandika huyu binti ni kigeni sanaaaa............
 
Mtu Huyu anaitaji counselling siyo kumshambulia,Kapigwa chini sasa nyie mnamuongezea machungu tu
 
watoto waliozaliwa kutokana na michepuko ndio wana mawazo km yako,umekulia kumuona mama yako akiwa 'side order' unafikiri ukiwa mtu mzima utaona kuna tatizo kweli?????

haah haah basi imetosha.
 
Habari wana jf.

Mapenzi ya siku hizi ni majanga mtu anadiriki kukuumiza bila sababu anayokwambia iliyopelekea akuache. Ni afadhari kutembea na mme wa mtu kwa sababu unajua kabisa sio wako.

Njoo nikugegede nikuongezee maumivu ya mapenzi maana nitakuona kama feni umuhimu wako ni wakati wa joto tu
 
Tembea tu na mume wa mtu ila ukae tu ukielewa kuwa uamuzi huo utakucost in a way hautaelewa. By then you'll b asking yourself Ooh Lord why me?
Na kitachosababisha hayo ni;
Ikiwa kuna mwanamke atalia kwa kudharauliwa, kupigwa au kunyanyaswa na mumewe
Ikiwa watoto watalia baba hajaja kwenye graduation au shuleni alipohitajika kumbe alikua kwako
Ikiwa familia watahangaika kutafuta kuni wachomwe miba kuchochea maharage wewe ukiwasha gas kupika grounded beef aliyonunua babao.
Na kumbuka huenda isiishie kwako laana iendelee kwa vizazi vyako mpaka cha nne kama biblia inavyosema so fanya uamuzi ukiyatambua haya.
 
VALID POINT! MUME WA MTU HAMNA DRAMA NI ALL CARDS ON THE TABLE, papuchi anapata na anaigharamia, wote second hand, hamna anaejiona BETTER THAN THE WORLD OR LARGER THAN LIFE.

PURELY BUSINESS! HIGHLY SEXUAL! Akitaka any empathy, n other illisional feeling he knows where to get them from THE WIFE! Na nyumba ndogo keeps focused on the SEX, mambo za his welfare, kazini, ndugu zake already taken care of by theirs trully THE WIFE. It makes her AN EXPERT IN PLEASING HIM CAUSE SHE HAS JUST ONE JOB, ONLY ONE TO TAKE CARE OF.

True Lara.
 
VALID POINT! MUME WA MTU HAMNA DRAMA NI ALL CARDS ON THE TABLE, papuchi anapata na anaigharamia, wote second hand, hamna anaejiona BETTER THAN THE WORLD OR LARGER THAN LIFE.

PURELY BUSINESS! HIGHLY SEXUAL! Akitaka any empathy, n other illisional feeling he knows where to get them from THE WIFE! Na nyumba ndogo keeps focused on the SEX, mambo za his welfare, kazini, ndugu zake already taken care of by theirs trully THE WIFE. It makes her AN EXPERT IN PLEASING HIM CAUSE SHE HAS JUST ONE JOB, ONLY ONE TO TAKE CARE OF.

Ona mawazo yao.!!!!.... tutaendelea kweli???
 
Ni bora ukaachana na vijana hawa coz wengi bado wananuka maziwa ya mamazao so jipange M ungu atakusimamia utapata mwenye mapenzi ya kweli kwako na mtafungandoa Mtumaini Mungu kwa kila jambo mdogo Wangu Mungu ndio muweza wa yote uckimbilie mume waMTU ni dhambi
 
Back
Top Bottom