mtuacheeeeeeeeeeeee na waume zetu jamani.. mbona mnataka kujimilikisha kirahisi hivyo? tukiwaachia muishi nao mtawaweza kweli? mtaweza vaa viatu vyetu?
Stupid!!! Huyo angekua ndo mumeo anafanya hivo ungejiskiaje shwain shenz
Kweli?punguza hasira, vizuri tule wote achen uchoyo
Njoo nikugegede nikuongezee maumivu ya mapenzi maana nitakuona kama feni umuhimu wako ni wakati wa joto tu
Habari wana JF,
Mapenzi ya siku hizi ni majanga mtu anadiriki kukuumiza bila sababu anayokwambia iliyopelekea akuache.
Ni afadhari kutembea na mme wa mtu kwa sababu unajua kabisa sio wako.
Kweli?
Haya basi ....ukweli kabisaa
mtuacheeeeeeeeeeeee na waume zetu jamani.. mbona mnataka kujimilikisha kirahisi hivyo? tukiwaachia muishi nao mtawaweza kweli? mtaweza vaa viatu vyetu?
Kwa hiyo we unahisi uko so smart eenh?! Unahisi wote wanaosahaugi ndoa zao ni wajinga?Wote huzungumza hayo usemayo ila never underestimate the power of mchepuko.Mwanamume mwenye Akili hawezi kuhudumia nyumba ndogo Zaidi ya kwake...kiukweli lazima nihakikishe nyumbani wana vitu Zaidi ya vile ninavyompa gal friend ....na hata Siku Moja siwezi Kumpa fixed asset MWANAMKE wa nje unless proven Ana mtoto wangu....na Hiyo asset nitampa kwa Jina la mwanangu ati na hati nakaa nayoooo..
Vitu Kama Magari vinavyo depreciate sio ISHu
wako akiwa kwako akitoka nje wa woteeee.
Wanaume wenyewe wachache hawa, si tutoe wapi sasa tuumbe wetu?
tutabanana hapo hapo