brigh wise
Member
- May 4, 2013
- 70
- 17
Kaaazi kweli Kweli!
Mmezidi mizinga wenzenu wanaona bora kusepa we kila siku mzinga mtaishia kuchezewa.
punguza hasira, vizuri tule wote achen uchoyo
Habari wana JF,
Mapenzi ya siku hizi ni majanga mtu anadiriki kukuumiza bila sababu anayokwambia iliyopelekea akuache.
Ni afadhari kutembea na mme wa mtu kwa sababu unajua kabisa sio wako.
Huko siwez rudii aisee kushinda ndaniii si ndio ntazidi kua wa baridii halaf mi na wese wapi na wapii unataka niwe cheusiii mangalaa akuuu ,umenimisooo Weka picha nioneee
Picha imeungua...labda nikupe negativu ukasafishe pale kwa Kassim mafoto...
Habari wana JF,
Mapenzi ya siku hizi ni majanga mtu anadiriki kukuumiza bila sababu anayokwambia iliyopelekea akuache.
Ni afadhari kutembea na mme wa mtu kwa sababu unajua kabisa sio wako.
ila huyu wangu najua utamtema tu mwenyewe, namuweza mi mwenyewe tuWanaume wenyewe wachache hawa, si tutoe wapi sasa tuumbe wetu?
tutabanana hapo hapo
Not everyone.... don't judge people collectively. watu wanaweza kuanguka kwenye dhambi lakini kuna masamaha pia. wako walithabiti..mazingira na life style vinaweza vikamwokoa mtu kutokana na kuepuka dhambi
its not something to do with judging someone but i' am just saying it. i know this sounded weird to others, but am not blaming anyone either, am just a reporter..it damn real.!! sio wote waniitao bwana bwana ....dah dah dah
by their fruit ye shall know em... kama sista anajifungua ni wazi alikuwa ana........Banjuka!!! sio? ama tuseme ni artificial insermination(AI)?..amepandisha kwa chupa
Huyu nae kichefu chefu...Mizinga demu unataka alelewe na wenzio wewe usugue tuuu....Pichu anunuliwe na wengine, perfume, deodorant, powder, mafuta ya nywele, dawa, kusuka, nguo, braa, pd...wakununulie wenzio wewe ujue kusugua tuu...Wanaume km wewe lol ...........Mwanaume majukumu...Ukishakuwa na demu yule ndio mkeo wa kumtunza...Tunza mali yako kaka...Mpendezeshe mkeo (Tangazo la Airtel).....Ukiona demu wako amekuwa na kitu kipya km wewe hujui alipopata hela ulizaaa usiwe falaa utaliwaaa ohoooo
Huyu nae kichefu chefu...Mizinga demu unataka alelewe na wenzio wewe usugue tuuu....Pichu anunuliwe na wengine, perfume, deodorant, powder, mafuta ya nywele, dawa, kusuka, nguo, braa, pd...wakununulie wenzio wewe ujue kusugua tuu...Wanaume km wewe lol ...........Mwanaume majukumu...Ukishakuwa na demu yule ndio mkeo wa kumtunza...Tunza mali yako kaka...Mpendezeshe mkeo (Tangazo la Airtel).....Ukiona demu wako amekuwa na kitu kipya km wewe hujui alipopata hela ulizaaa usiwe falaa utaliwaaa ohoooo
je akikuambukiza magonjwa coz yeye ndo anakuwa anaendesha pezi kwasababu ya hela yake.....binafsi sipendi mahusiano ya kugandana wee ka luba, mume wa mtu nzuri sana,..and it may give u a chance to play hard to get with another man
Habari wana JF,
Mapenzi ya siku hizi ni majanga mtu anadiriki kukuumiza bila sababu anayokwambia iliyopelekea akuache.
Ni afadhari kutembea na mme wa mtu kwa sababu unajua kabisa sio wako.
mkuu mwanzo nili-point a finger kama mfano, but nikasisitiza simjaji mtu. but nilitumia kama reference. i know people can fall into sin but people can also be saved from it.Life is ever changing, just like people do. Today is not the same as tomorrow.Yaani wewe umeandika nini hapa juu, UKASAHAU ULICHOKIANDIKA kwenye comment iliyopita.
Tatizo huyo aliingia ndani na viatu, unatakiwa ukiingia uache viatu njee....Wanaume hasa vijana wa sasa taaabuuuuu...
Tatizo maadili yamebadilikaaa.....Chunguza utabaini muraaa