Mapenzi ya now days afadhari kutembea na mme wa mtu

Mapenzi ya now days afadhari kutembea na mme wa mtu

Absolutely yes; hivi viungo huwa haviokoki jmn jadi wachungaji wanaipenda
Not everyone.... don't judge people collectively. watu wanaweza kuanguka kwenye dhambi lakini kuna masamaha pia. wako walithabiti..mazingira na life style vinaweza vikamwokoa mtu kutokana na kuepuka dhambi
 
Duh, lugha chafu kama nini! chonde chonde, punguza ghadhabu za nyumbani kwako unapo comment mada za watu. UkiMheshimu usiyemjua utampenda unayemjua.


Hivi wewe unapinga nini na uanshauri nini?

Hivi huoni kuwa kwa kutembea na mume wa mtu utakuwa unasababisha mtu mwingine wa tatu (mke wa mume utembeaye naye) kuumizwa pia?

Hebu acha kuwa na akili za rejareja kama misukule ya Lumumba, kuna watu nafikiri mmepewa akili kama si za kufanikisha zoezi la kutawaza kinyesi chooni basi itakuwa za kukusaidia kufakamia matonge ya msosi...
 
Not everyone.... don't judge people collectively. watu wanaweza kuanguka kwenye dhambi lakini kuna masamaha pia. wako walithabiti..mazingira na life style vinaweza vikamwokoa mtu kutokana na kuepuka dhambi

Hujaeleweka mkuu, can you narrow down pls
 
Wewe ulivyo na akili ndogo..hata mme wa mtu atakula na kukimbia..yaani utakimbiwa maisha yako yote mwishowe utapata depression tu..
 
kaa chini jipange upya,mume wa mtu sio suruhisho sana sana unajitafutia matatizo.Kuna laana unakuwa nayo kwa kuingilia ndoa za wenzio.Usipotoshwe na comments za kwenye social media.

NImesema jipange upya kwan Yule anayekupenda kwa dhati humpi nafasi,ila aliyekutamani na kukuongeza ktk list yake ndio unaona umefika kweli kweli.
 
Habari wana jf. Mapenzi ya siku hizi ni majanga mtu anadiriki kukuumiza bila sababu anayokwambia iliyopelekea akuache. Ni afadhari kutembea na mme wa mtu kwa sababu unajua kabisa sio wako.
Tembea na babaako mzazi, huyo ndio uhakika kabisaaaaa sio wa kwako. Laana-tullah!
 
deadly force pull u to worsest ever! thinks again,eleza kisa wachambuzi tukipime lucz never "kurupuka" au kufuata mi~igi~zo!
 
Last edited by a moderator:
kaa chini jipange upya,mume wa mtu sio suruhisho sana sana unajitafutia matatizo.kuna laana unakuwa nayo kwa kuingilia ndoa za wenzio.usipotoshwe na comments za kwenye social media.

Nimesema jipange upya kwanyule anayekupenda kwa dhati humpi nafasi,ila aliyekutamani na kukuongeza ktk list yake ndio unaona umefika kweli kweli.
safi sana na hapa ndipo ile dhana ya upofu inapofanya kazi yake
 
Habari wana jf. Mapenzi ya siku hizi ni majanga mtu anadiriki kukuumiza bila sababu anayokwambia iliyopelekea akuache. Ni afadhari kutembea na mme wa mtu kwa sababu unajua kabisa sio wako.
;una mtu alishawahi kusema, ukitaka kuwa safe kwenye kuchepuka bila kukamatwa, basi chukua mume au mke wa mtu, au walokole.. Sababu aliyoitoa ni kuwa hao hawanaga kitu inaitwa 'show off' ... Hivyo unachepuka naye salama kabisa
 
;una mtu alishawahi kusema, ukitaka kuwa safe kwenye kuchepuka bila kukamatwa, basi chukua mume au mke wa mtu, au walokole.. Sababu aliyoitoa ni kuwa hao hawanaga kitu inaitwa 'show off' ... Hivyo unachepuka naye salama kabisa

asikudanganye mtu huko kwa walokole ndio majanga zaidi michepuko huko ni dabo dabo wale ni wanzishe kama nini
 
Ooh kama hupendi kuumizwa, basi usitake kuwaumiza wake za waumwe unaoona ni kheri kuwa nao. Ungesema midole ili uwe una nafsi yako peke yako lakini hata hilo nalo litaiumiza nafsi yako. Yaliyokukuta yakufundishe kukuza personality yako badala ya kukuehusha.
 
Njoo kwangu mie mme wa mtu, ila kupiga simu mwisho saa moja jioni na siku za weekend na sikukuu no kupiga simu mpaka mimi nikupigie,

Utaweza?

teheee tehee

hayo ndo masharti ya mkataba lakn wakishanogewa basi wanaanza kuona wivu na kuanza kudemand muda zaid ila dawa yao ni kuwa simu yao ambayo hua inabaki garini tu
 
Ni sawa na kuamua kunywa sumu kwa kuwa mtu amekuudhi. Halafu utegemee afe yeye.
 
Back
Top Bottom