Mapenzi ya dhati(upendo) hutuliza nafsi kuliko pesa

Mapenzi ya dhati(upendo) hutuliza nafsi kuliko pesa

Jaribu kua na ela alafu usiwe na amani na ukose ule upendo WA dhati ndo itakua hata ukiwa na pesa kias Cha kua afford hizi basic needs za kibinadam zote na luxury pia..Bado Kuna namna ya kukosa amani yaani inakua ujai vizuri ....upendo WA kweli unatuliza sana nafsi.
Ukiongezea na kupata a very good/clean sex...
Aisee afu ndo uwe na ela Sasa dah...acheni kabisa.unalala kama umekunywa a very fine wine.
Ukiongezea na kupata a very good/clean sex...
Aisee afu ndo uwe na ela Sasa dah...acheni kabisa.unalala kama umekunywa a very fine wine.[emoji23]
 
Jaribu kua na ela alafu usiwe na amani na ukose ule upendo WA dhati ndo itakua hata ukiwa na pesa kias Cha kua afford hizi basic needs za kibinadam zote na luxury pia..Bado Kuna namna ya kukosa amani yaani inakua ujai vizuri ....upendo WA kweli unatuliza sana nafsi.
Ukiongezea na kupata a very good/clean sex...
Aisee afu ndo uwe na ela Sasa dah...acheni kabisa.unalala kama umekunywa a very fine wine.
Mnavyo viandika dada zangu hamviishi mwanawake huwaga mnachanganyikiwa sana ukakuta ana mtu unampenda sana na upo kwenye mahusiano naye, ila akatokea mtu mwengine mwenye hela akakuonyesha upendo mixer vizawadi huwaga mnapagawa sana na mna msemo wenu maarufu "......Bora kulia kwenye V8 kuliko kucheka kwenye baiskeli........".

Dunia tunayoenda wanawake wanapenda sana hela,tatizo wengi wao hawajui MAHITAJI YAO YA MSINGI,ila siku hizi Iphone, Gucci,LV,matolea mapya ya mabegi nguo,mahotel makubwa ,vivutio vikubwa vya utalii nk kwao wameviingiza kwenye MAHITAJI YAO YA MSINGI. Wanaume wengi uwezo wa kuwapa mahitaji yenu ya msingi tunao,tatizo lenu mnaendekeza luxury.

Ktk wanawake 100 ni hawazidi wanawake watatu watakao kubali kukomaa na mtu wake anayempenda mwenye uwezo wa kawaida na kukimwacha mwenye hela. Halafu baadae mkishaingia kwenye ndoa na hao wenye fedha ndio mnakumbuka kuna unconditional love,unamkumbuka mwana uliye mwacha ambaye moyo wako unampenda mno unamshawishi awe kidumu.

Kuna mwanangu demu alianza nae tokea advance, demu yupo O-Level ,jamaa akaanza kazi demu ndio yupo chuo ila alikuwa ana msupport mwana mshahara wake ulikuwa around 1.5m.

Demu field alipata benki moja kubwa mjini. Demu amemaliza akapata intern kwenye hiyo bank, meneja watawi la hilo bank si kamwona kampindua mwana. Na jamaa mwaka ambao anatuambia sisi anaenda kuchumbia ndio mwaka huo huo (2017) demu anachumbiwa na huyo meneja. Mwana alisha mwambia kwamba huu nitakuoa, demu anaitikia siku ya siku anaziilona picha kwenye status ya demu,mwana kapagawa alikuwa na kitambi kikakata ghafla kwa stress.

Imeenda kama mwaka na miezi kazaa,demu anataka kurudi kwa mwana ,tukamchana aachane nae atamsababishia matatizo na demu mpaka kesho anataka mwana awe kidumu chake yaani anataka kucheza huku na huku.
 
Mnavyo viandika dada zangu hamviishi mwanawake huwaga mnachanganyikiwa sana ukakuta ana mtu unampenda sana na upo kwenye mahusiano naye, ila akatokea mtu mwengine mwenye hela akakuonyesha upendo mixer vizawadi huwaga mnapagawa sana na mna msemo wenu maarufu "......Bora kulia kwenye V8 kuliko kucheka kwenye baiskeli........".

Dunia tunayoenda wanawake wanapenda sana hela,tatizo wengi wao hawajui MAHITAJI YAO YA MSINGI,ila siku hizi Iphone, Gucci,LV,matolea mapya ya mabegi nguo,mahotel makubwa ,vivutio vikubwa vya utalii nk kwao wameviingiza kwenye MAHITAJI YAO YA MSINGI. Wanaume wengi uwezo wa kuwapa mahitaji yenu ya msingi tunao,tatizo lenu mnaendekeza luxury.

Ktk wanawake 100 ni hawazidi wanawake watatu watakao kubali kukomaa na mtu wake anayempenda mwenye uwezo wa kawaida na kukimwacha mwenye hela. Halafu baadae mkishaingia kwenye ndoa na hao wenye fedha ndio mnakumbuka kuna unconditional love,unamkumbuka mwana uliye mwacha ambaye moyo wako unampenda mno unamshawishi awe kidumu.

Kuna mwanangu demu alianza nae tokea advance, demu yupo O-Level ,jamaa akaanza kazi demu ndio yupo chuo ila alikuwa ana msupport mwana mshahara wake ulikuwa around 1.5m.

Demu field alipata benki moja kubwa mjini. Demu amemaliza akapata intern kwenye hiyo bank, meneja watawi la hilo bank si kamwona kampindua mwana. Na jamaa mwaka ambao anatuambia sisi anaenda kuchumbia ndio mwaka huo huo (2017) demu anachumbiwa na huyo meneja. Mwana alisha mwambia kwamba huu nitakuoa, demu anaitikia siku ya siku anaziilona picha kwenye status ya demu,mwana kapagawa alikuwa na kitambi kikakata ghafla kwa stress.

Imeenda kama mwaka na miezi kazaa,demu anataka kurudi kwa mwana ,tukamchana aachane nae atamsababishia matatizo na demu mpaka kesho anataka mwana awe kidumu chake yaani anataka kucheza huku na huku.
Alitema big G kwa karanga za kuonjeshwa. Tamaa mbaya sana.
 
Mnavyo viandika dada zangu hamviishi mwanawake huwaga mnachanganyikiwa sana ukakuta ana mtu unampenda sana na upo kwenye mahusiano naye, ila akatokea mtu mwengine mwenye hela akakuonyesha upendo mixer vizawadi huwaga mnapagawa sana na mna msemo wenu maarufu "......Bora kulia kwenye V8 kuliko kucheka kwenye baiskeli........".

Dunia tunayoenda wanawake wanapenda sana hela,tatizo wengi wao hawajui MAHITAJI YAO YA MSINGI,ila siku hizi Iphone, Gucci,LV,matolea mapya ya mabegi nguo,mahotel makubwa ,vivutio vikubwa vya utalii nk kwao wameviingiza kwenye MAHITAJI YAO YA MSINGI. Wanaume wengi uwezo wa kuwapa mahitaji yenu ya msingi tunao,tatizo lenu mnaendekeza luxury.

Ktk wanawake 100 ni hawazidi wanawake watatu watakao kubali kukomaa na mtu wake anayempenda mwenye uwezo wa kawaida na kukimwacha mwenye hela. Halafu baadae mkishaingia kwenye ndoa na hao wenye fedha ndio mnakumbuka kuna unconditional love,unamkumbuka mwana uliye mwacha ambaye moyo wako unampenda mno unamshawishi awe kidumu.

Kuna mwanangu demu alianza nae tokea advance, demu yupo O-Level ,jamaa akaanza kazi demu ndio yupo chuo ila alikuwa ana msupport mwana mshahara wake ulikuwa around 1.5m.

Demu field alipata benki moja kubwa mjini. Demu amemaliza akapata intern kwenye hiyo bank, meneja watawi la hilo bank si kamwona kampindua mwana. Na jamaa mwaka ambao anatuambia sisi anaenda kuchumbia ndio mwaka huo huo (2017) demu anachumbiwa na huyo meneja. Mwana alisha mwambia kwamba huu nitakuoa, demu anaitikia siku ya siku anaziilona picha kwenye status ya demu,mwana kapagawa alikuwa na kitambi kikakata ghafla kwa stress.

Imeenda kama mwaka na miezi kazaa,demu anataka kurudi kwa mwana ,tukamchana aachane nae atamsababishia matatizo na demu mpaka kesho anataka mwana awe kidumu chake yaani anataka kucheza huku na huku.
Bahati mbaya wengine hatuipati....
Mimi nilikujaga na malalamiko hapa mwanaume haeleweki na ana ela za kunipa basic needs watu oooh kapambane na hali yako,unataka ela zaidi imeenda imerudi...
Nikajipankama 3 yes kutafuta ela
Hapa tunavyoongea sikufuru ila ela ya kubadilishia wanangu mboga...kwenda zanzbar kupumzika ninawwza mwenyewe bila msaada WA yoyote....
Wewe unafikiri kwanini huyo demu anamtaka jamaa kaja kugundua pesa sio Kila kitu either uwe nazo wewe au awe nazo jamaa Bado Kuna sehem utamis tu...upendo utenganishwe na pesa...sio wanaweke pekee wanapenda pesa siku hizi Kuna marioo kibao
 
Bahati mbaya wengine hatuipati....
Mimi nilikujaga na malalamiko hapa mwanaume haeleweki na ana ela za kunipa basic needs watu oooh kapambane na hali yako,unataka ela zaidi imeenda imerudi...
Nikajipankama 3 yes kutafuta ela
Hapa tunavyoongea sikufuru ila ela ya kubadilishia wanangu mboga...kwenda zanzbar kupumzika ninawwza mwenyewe bila msaada WA yoyote....
Wewe unafikiri kwanini huyo demu anamtaka jamaa kaja kugundua pesa sio Kila kitu either uwe nazo wewe au awe nazo jamaa Bado Kuna sehem utamis tu...upendo utenganishwe na pesa...sio wanaweke pekee wanapenda pesa siku hizi Kuna marioo kibao
Kishachelewa na mbaya zaidi kote anataka hela anataka na jamaa anamtaka na mara nyingi wanawake wa type hizi wanakuja kugundua baada ya kuolewa ndipo anapokuja kujua ndoa ni zaidi ya hela, wakijaribu kurudi kwa wanao wapenda wanawakuta wana endelea na life jingine.
 
Kishachelewa na mbaya zaidi kote anataka hela anataka na jamaa anamtaka na mara nyingi wanawake wa type hizi wanakuja kugundua baada ya kuolewa ndipo anapokuja kujua ndoa ni zaidi ya hela, wakijaribu kurudi kwa wanao wapenda wanawakuta wana endelea na life jingine.
Katika mapito yote namshukuru Mungu niliolewa na jamaa nikijirisha moyoni kwamba nampenda.
Unajua pia kuishi na mtu kama umpendi ni mzigo mara mbili.
Imagine hakupendi na Bado wewe humpendi...ee kasheshe..
Japo omba vyote ila Cha msingi ukimpata mtu akakupenda Kwa hali yoyote yaani ule upendo WA agape....aisee umepata vyote duniani.mtu anaekupenda mthamini sana japo Sasa siku hizi ni ngumu sana kupima upendo sehemu zote mbili.
Moja kwenye lindi la dhiki
Na mbili kwenye pesa
 
Jaribu kua na ela alafu usiwe na amani na ukose ule upendo WA dhati ndo itakua hata ukiwa na pesa kias Cha kua afford hizi basic needs za kibinadam zote na luxury pia..Bado Kuna namna ya kukosa amani yaani inakua ujai vizuri ....upendo WA kweli unatuliza sana nafsi.
Ukiongezea na kupata a very good/clean sex...
Aisee afu ndo uwe na ela Sasa dah...acheni kabisa.unalala kama umekunywa a very fine wine.
Sema katika hivyo viwili kisikosekane kimoja
 
Kishachelewa na mbaya zaidi kote anataka hela anataka na jamaa anamtaka na mara nyingi wanawake wa type hizi wanakuja kugundua baada ya kuolewa ndipo anapokuja kujua ndoa ni zaidi ya hela, wakijaribu kurudi kwa wanao wapenda wanawakuta wana endelea na life jingine.
Mwenye dhiki akikuoneshea mahaba unahisi anataka kutatua changamoto zake
Na wewe mwenye pesa unagua mgumu kurespond ule upendo maana unahisi ananiigizia sababu ya hizi pesa
Ni ngumu sana.
 
Back
Top Bottom