UNAMAANISHA NIN HAPO MKUU? LOGIC YA PICHA YAKO NA MANENO YAKO IPO WAP? Sijaelewa!...tafakari..
..huwezi jua thamani ya mapenzi mpaka uyakose!
ivi ennh?
km njaa?
so unaweza ukayafanyia diet ili usikie io njaa km yapo teele?
unaweza ukfast-ukafunga...ili uhisi io njaa?
km njaa?ehh haya bana
Hio picha has lost all my concentration... Heartbreaking...
Seconded.
Hivyo basi, ulo nae mkeep na um enzi; akija akikutoka usije kulia.
Mapenzi sio kama njaa..kwani mapenzi unaweza kujimalizia haja zako wewe mwenyewe.. Lakini njaa huwezi kujila mwenyewe..
Romance Hujambo bibie?Khaaaaaaa!!! wapi na wapi......... ukameee huo na mapenziiiii........ mmmmmmmmmmmh!!!!!
Kwa kweli hii picha jamaniHio picha has lost all my concentration... Heartbreaking...
Upweke noma.....na mapenzi yanaondoa upweke.....
...mnh, 'dongo langu hilo?'..LOL! Freema, at all cost kwakweli...mpaka kifo kitapotutenganisha,
Nitamuenzi, nitamtunza, nitamvumilia na kumthamini...Inshaallah!
nimekumiss!
Hata mimi nakubaliana na wewe na nitaelezea baadae bt kwa sasa nangoja jamaa afafanue picha yake na title ya hii thread!Mapenzi ni kama njaa?Napenda kubisha kwa nguvu zangu zote.........Njaa ni kitu kingine na mapenzi ni jambo jingine..... Ntafafanua ikihitajika.
Well well darling....mzima lakini?
Nimekuja na mbinu mpya....for the better....