...indeed!...aliyepoteza mapenzi husikitisha vile vile.
'
Leo threads za ukweli zipo wap? HII HAIELEWEKI. Ngoja nilale. G9t BW. MBU!
UNATUCHANGANYA SANA!
Afadhari umeomba msamaha bwana, uliyoyaandika na picha ile their true quite irrelevant bwana duh! Nadhan ungefafanua hata ktk ile picha kusinge kua na tatizo. Ucjal MBU, YOUR APOLOGY IS ACCEPTED, BE WITH PEACE AND IT WIL BE GOOD IF U WIL COME UP WITH A NEW THREAD. Mimi ni fan wa threads zako, ktk hii nimeshinda changia, nimebaki kukulaumu! Poa kaka!Public Apology.Wakuu, am deeply sorry kwa wote mliokwazika na picha ile ya kichanga.Kwakuwa lengo, nia na madhumuni hayakueleweka kwa wengi, haliondoi Ukweli "mwenye shibe kakinai, ...amjuaje mwenye njaa?"Tusiukatae Ukweli kwakuwa hatuupendi.Mbu.
Afadhari umeomba msamaha bwana, uliyoyaandika na picha ile their true quite irrelevant bwana duh! Nadhan ungefafanua hata ktk ile picha kusinge kua na tatizo. Ucjal MBU, YOUR APOLOGY IS ACCEPTED, BE WITH PEACE AND IT WIL BE GOOD IF U WIL COME UP WITH A NEW THREAD. Mimi ni fan wa threads zako, ktk hii nimeshinda changia, nimebaki kukulaumu! Poa kaka!
Dear Blood Donor!"ray:forget the bite, I Sing for You!..."..Nakupenda pia, Nakutaka pia -Mpenziwe...":mwaaah::A S-heart-2:
MJ - 'Liberian Girl!
:bange:hone:
Mheshimiwa Moskwito..... umeona ulivyoitoa ile picha kina dada wamefurika hapa kuchangia hii sredi?......... watu wanaogopa njaa kuliko mapenzi....
"Dear Blood Donor!"ray:forget the bite, I Sing for You!..."..Nakupenda pia, Nakutaka pia -Mpenziwe...":mwaaah::A S-heart-2:
MJ1 - 'Liberian Girl!'
Na hiyo red kwenye signature yako, kumbe Mwanajamiiwani ni Liberian girl? LOL
Nimeuliza tu, ntarudi baadaya kuchungulia kama umenijibu.
Kweli bwana njaa haichagui chakula,ukiona mtu anachagua chakula ujue huyo anahamu na si njaa ndio maana mtu akiwa na njaa ya mapenzi hachagui kikongwe wala kichanga vyote pwani tuu!!
Ile Movie ya Angelina Jolie "BEYOND THE BORDER" umebahatika kuicheki mkuu? Km bado itafute! Mpiga picha wa huyo mtoto aliyeliwa na tai alipata umaarufu sana kwa kazi yake, siku anapresent ile picha wakamwuliza MTOTO YUKO WAPI? Mwandishi hana jibu, wakaanza kumkosoa, jamaa aliporudi home AKAJINYOONGA. Angeline yeye alionyesha utofauti, alimchukua yule mtoto, akampa matibabu so akawa ameokoa maisha ya mtoto!ha ha ha, Gagurito usijali mkuu,I hope hukukaota kale katoto kanakulilia njaa.Peace be upon you!
Mheshimiwa Moskwito..... umeona ulivyoitoa ile picha kina dada wamefurika hapa kuchangia hii sredi?......... watu wanaogopa njaa kuliko mapenzi....
"Dear Blood Donor!"ray:forget the bite, I Sing for You!..."..Nakupenda pia, Nakutaka pia -Mpenziwe..."
MJ1 - 'Liberian Girl!'
Na hiyo red kwenye signature yako, kumbe Mwanajamiiwani ni Liberian girl? LOL
Nimeuliza tu, ntarudi baadaya kuchungulia kama umenijibu.
....ha ha ha, naona bana,
watu wanaogopa Kwashiokor ya mapenzi.
"Mgonjwa haulizwi uji!"
...AAAH! ...ha ha ha! ...sasa nimekusoma na kukusikia kwa sauti kubwa! acha tu niimbe kwanza...!
Mwj1... ♫ ♫
You came and you changed my world
A love so brand new
Liberian girl...
You came and you change me girl
A feeling so true
Mwj1... ♫ ♫
You know that you came
And you changed my world,
Just like in the movies,
With two lovers in a scene
And she says...
"Do you love me"
And he says so endlessly...
"I love you, Liberian girl"
♫ ♫....
...mmmhhh,...mantahofu...huyu mke mwenzio ni "mwajiriwa" wa RITA, Kasema jioni ataniletea...Lol!Babu ...................unadaiwa ada nini? mboma unatafuta mahari kwa nguvu?............Phweeee!.........Asa mbona kama hacra zinanpungua......au ndo naanzaingia line?! Kama uko tayari kupoteza hiyo 'precious Pearl' yako....niko tayari kukupokea. ....mradi tu uje na uthibitisho wa kivunja uchumba!
Public Apology.
Wakuu, am deeply sorry kwa wote mliokwazika na picha ile ya kichanga.
Kwakuwa lengo, nia na madhumuni hayakueleweka kwa wengi,
haliondoi Ukweli "mwenye shibe kakinai, ...amjuaje mwenye njaa?"
Tusiukatae Ukweli kwakuwa hatuupendi.
Mbu.