Tuambie yaliyo kusibumapenzi siyo kitu cha kuamini yanaweza badilika mda wote.mapenzi ni kama majira yanabadilika mda wowote Usiupe moyo wako wote kwenye mapenzi.jua mapenzi ni sawasawa na majira kuna wakati wafuraha na huzuni.
mi siwezi kumcheka nitamhurumia tuAyatoe mmcheke alaf a kajinyongee vizuri?
Kwa ninavyo kujua bora mtoa mada akae nayo moyonimi siwezi kumcheka nitamhurumia tu
unanijuaje mbona mimi ni kapole plus kastaarabu mno😉😊Kwa ninavyo kujua bora mtoa mada akae nayo moyoni
Kwendraa wewe hata Lamomy akasomeunanijuaje mbona mimi ni kapole plus kastaarabu mno😉😊
kheeee makubwa,, hivi ukiambiwa utaje I'd zenye ukorofi humu utanitag? au umenifananisha mimi ni win oneKwendraa wewe hata Lamomy akasome
Wa Kwandya kabisakheeee makubwa,, hivi ukiambiwa utaje I'd zenye ukorofi humu utanitag? au umenifananisha mimi ni win one
Mhhh , mapenzi hayabwezi kuwa kama majira , kwasababu ni kitu unacho jiingiza wewe mwenyewe , yakikukuta ya kukuta utajua mwenyewe , majira hayana maamuzi, kunamda kina fika kipindi cha ki pupwe , na kuna mda kinafika kipindi cha masika na vinajulikana hivi vipindi havibadiliki ghafla kama unavyo maanisha . Other wise kama yamekukuta very sorymapenzi siyo kitu cha kuamini yanaweza badilika mda wote.mapenzi ni kama majira yanabadilika mda wowote Usiupe moyo wako wote kwenye mapenzi.jua mapenzi ni sawasawa na majira kuna wakati wafuraha na huzuni.
looh nimeumia sana,, nina ukorofi gani sasa😪Wa Kwandya kabisa
Kumbe ww mayai mayai Hutaniwi eee?looh nimeumia sana,, nina ukorofi gani sasa😪
madako🤣🤣Kumbe ww mayai mayai Hutaniwi eee?