Mapenzi hayana baunsa

Vp legendary tena??!!kama yamekupata pole sana bro ndio maisha yalivyo
 
Hivi vijana wa sasa tumekuaje?
Yaan tunawazidi hadi Wanawake kulialia aaaagh
Unalilia nini sasa hasa hua ni mbunye au ni nini? Duuh asee
Acha Ujinga kijana. Uzima ulionao ni Tunu kubwa.
 
Back
Top Bottom