Mapenzi ni noma sana,yanavuruga sana watu.Uzi tayari mamaeeeeee chali
Fanya yotee ila angalia USIOE KABISAAA..!!!Haya ni maisha tu!,naapa ila ipo siku tu.
nipo kwenye penzi zito mno yaani mpaka naona nateseka mwenzenuHaya ni maisha tu!,naapa ila ipo siku tu.
Hongera mkuu, ila kuna siku isiyojulikana utakuja kulia kama jamaa huyo..nipo kwenye penzi zito mno yaani mpaka naona nateseka mwenzenu