Gentleman,
ukiona uvulana unakusumbua sana, suluhisho la pekee la kudumu ni kufunga ndoa na mwanamke, na Mungu Mwenyezi wa Milele atabariki ndoa uzao wako, atabariki kazi za mikono yako, atabariki kazi za kimwili na roho yako, na atakujaza Neema na Baraka zake ele katika shughuli zako za utafutaji pesa na uzalishaji mali na watoto 🐒
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.