ukiwa nayo maisha yako yamejaa furaha kabisa.achaneni na mapenzi tafuten hela. mapenzi ni uzushi wa kipumbavu hauna faida yeyote.mapenzi hayana dhamana ni ushenzi tu wa mwanaapollo. tafuten hela ndiyo mapenz ya kwel ishi single kataa ndoa,kataa mahusiano,kataa zinaa ishi kitakatifu.