Mapenzi haya yatanishinda

Mapenzi haya yatanishinda

love peace, Mimi kwanza nakupongeza kwa ujasiri wako, miezi miwili kwa wadada wa kisasa ni sawa na mwaka.

Pili, huyo sio bahati/chaguo lako. Alitaka cookie yako aionje alafu akuache. Labda Kuna kitu aliona, hakuridhishwa nacho. ama alitaka tu aonje tamu.

Mimi naona huna kosa (labda huko faragha), kuzini Ni dhambi ya walio wengi, jaribu uhusiano ujao uchelewe kutoa cookie yako.
 
Nikushauri kitu dada yangu...usipoteze muda wako wa kusubiri na kumwambia muachane..cha kufanya kaa kimya no sms no calls....endelea na mambo yako
 
Hvi mnapoambiwa 'TRUE LOVE IS A MYTH' mnakuwa hamuelewi??
My dear sister mtoa mada...hapo kinachofata ni kibuti aka a BIG BACK STAB ...
YOU MUST REALIZE U GOT NOTHING TO LOSE,penzi ushakosa na PESA PIA???....changamka b4 ts late,..huyo unamjua vizuri so make ur way,wanapewa wenzako ujue ohoo..
Shaurilo km u dont take my advice...UTALIA MWENYEWE,walau the nice things u can buy and spend with his money vitaku'comfort,

alafu siku hizi naona trend yakuumizwa kwenye mahusiano imebadilika zamani boys wengi walikuwa wanaumizwa,kutendwa na kuja kulalamika nowdays noana girls wengi wanatendwa na wanaongoza kuja kulalamika hapa mhh!!
 
njooo huku we mapenzi siku hizi ni ya kiakili bans sio moyoni.

mapenzi kichwani na sio moyoni au rohoni
 
alafu siku hizi naona trend yakuumizwa kwenye mahusiano imebadilika zamani boys wengi walikuwa wanaumizwa,kutendwa na kuja kulalamika nowdays noana girls wengi wanatendwa na wanaongoza kuja kulalamika hapa mhh!!

ah me naona ngoma draw sikuhz mkuu..
 
He is not tht into u.....moveeeeeee(on to the next one).ur too fly for his sh......t, pls abeg (in Nigerian voice)
 
Hahahaaaa.... Pole dada, sicheki kwa mazuri ila nakucheka ambavyo huifahamu Chemistry ya mapenzi.

Iko hivi mara ya kwanza mnaonana mnakuwa na moto wa kufahamiana, mnahaidiana mambo kibao, mnasifiana vitu kibao, mnaweza kukesha mkiongea kwenye simu, kuchat every second... Ila once mkishavuana pichu kila mmoja akaona utupu wa mwenzie baaaaaassssiiii vyote mlivyokuwa mnaambizana na kusifiana vinayeyuka na wakat mwingine kupotea kabisaaa hasa kwa wanaume....

Ushauri wangu, wanaume wote wako hivo hivo. Hata ukiachana na huyo ukaenda kwa mwingine naye atakuwa hivyo hivyo!!
 
Hivi ninyi wadada si munataka wanaume wenye pesa? We kama vp komaanaye tu ule pesa zake mana hapo mpo wengi, bali kama unataka mwanaume bora Muombe Mungu atakupatia dada.
 
pole kwanza mdada hizi ndo changamoto za mapenzi,kama unasoma soma yaan soma sana,au kama ww mfanya kazi fanya sana kazi my dia,ukishaona hivo ujue ndo keshatambaa huyo, usilie eh still life goes on!
 
Ameshapata alichokitaka so anakuona wa kawaida siku nyingine usimuamini mtu kirahisi kwa maneno yake wala matendo yake mwanzoni mara nyingi hutumia njia hiyo kupata anachokitaka akishapata haoni tena thamani yako so be careful
yes imepita kama siku tano tu.
 
Kabla ya kumfungulia kufuli lako ulituuliza?

Umelikoroga sasa linywe.

Usisahau kupima UKIMWI.
 
Ushauri uliotukuka ni kama wengi walivyo shauri achana nae, no sms, no calls mnyamazie na usimtafute ikibidi endelea na zako. Nakumbuka mimi binafsi nilishatoa ushauri kama huo kwa mtu mwingine sio humu JF, alighilibiwa wakaamsha tena mapenzi upya sisi washauri bila jua chochote kwani walifanya siri mno kilichofuata ni mimba kutaka kumuua binti ktk harakati za kuitoa baada ya jamaa kumtelekeza kabisaa baada ya kuhabarishwa juu ya ujauzito, kwa hiyo hivyo ni viashiria tu vya midume miovu isiyo na muelekeo.
 
natamani nimwambie mapema kwamba tuachane kabla hajaniacha yeye ni sahihi?

We kweli una shida. Umwambie ati kabla hajakuambia, waswahili wanasema; Akukataaye hakuambii toka. Weye umesema unafika, anakuacha ndani anaenda kupiga stori na marafiki zake. Hapo kuna penzi kweli? Tena umesema ni miezi miwili tu, keshakula mzigo.
Alipima kina akaona cha kwake hicho ni kibamia tu. Circumference yako ilikuwa ku.bwa. Bidada, mpotezee angalia mbele usimwambie chochote akikumind sasa upime mwenyewe umpe masharti magumu.
 
pole mamii hayatakiwi kukushnda kabisa pambana ndugu labda unambie na wewe humpendi
 
Back
Top Bottom