Mapenzi haya yatanishinda

Mapenzi haya yatanishinda

Pole mdada. Endelea kuwa nae.

Sent from my Nokia Lumia using Tapatalk
 
love peace, Mimi kwanza nakupongeza kwa ujasiri wako, miezi miwili kwa wadada wa kisasa ni sawa na mwaka.

Pili, huyo sio bahati/chaguo lako. Alitaka cookie yako aionje alafu akuache. Labda Kuna kitu aliona, hakuridhishwa nacho. ama alitaka tu aonje tamu.

Mimi naona huna kosa (labda huko faragha), kuzini Ni dhambi ya walio wengi, jaribu uhusiano ujao uchelewe kutoa cookie yako.
Good advice!!Sisi wanawake tunajirahisisha sana kwa wanaume halafu hatuishi kulalalamika hatupendwi sijui tunachezewa wakati ukweli wa mambo tunaujua....Kuna wanaume wanafiki sana wapo tayari mkao wa kula tu kukujaribu aonje cookie yako ka imekolea sukari au kama ina chocolate za kutosha si ndio Eli79!!!!A friend of mine once told me MEN ARE JUST LIKE FOXES!!!Matumaini yangu love peace alitumia kinga au akajipime ukimwi!!
 
love peace haya mambo umejitakia mwenyewe.
We umetoa uroda kabla ya muda ulitegemea jamaa ndo atakupenda zaidi kumbe in real sense ndo ushatimiza adhma yake.
Imekula kwako hiyo. Ukiingia kwenye relatioship mpya sio unakurupuka kutanua uwanja. Soma habari ya watoto wa Daudi ndo ujue kwamba tendo linakera kabla ya ndoa.
Jifunze kusema NOOOOOOOO
Kajipange.
 
Last edited by a moderator:
Hayo mengine sitazungumzia kwakuwa yana msingi,nitazungumzia hili la kutaka password ya FB

Unatakiwa ujue kuwa pamoja na kuwa na mahusiano na mtu bado anakuwa na mambo binafsi,kitendo cha wewe kutaka kujua password yake ni kutokujiamini na kujistukia

Kwanini unataka kujua password yake na hata mwaka hamjamaliza?

Unapoingia kwenye mahusiano na mtu tambua kuwa huenda alikuwa na watu wengine ambao alitarajia kuwa nao lakini akakuchagua wewe,watu hawa alikuwa ana mawasiliano nao hivyo hawezi kukata mawasiliano ghafla tu ni lazima kama binadamu awe na hatua za kuchukua na hata kama ataendelea kuwa na mawasiliano nao basi mawasiliano hayo itabidi yawe ya kawaida sana na ili kuyapoleka kwenye hali hiyo itabidi ichukue muda

Kitendo cha huyo jamaa kukunyima namba yake ya siri inaweza kuwa ni katika kukuzuia kupata misongo ya mawazi usiyoihitaji kwa sasa na muda sahihi ukifika huenda akakupa,lakini pia akikunyima usidhani kuwa hakupendi hizo ni prevace zake na wewe una zako na hutakjiwi kumuingilia wala yeye kukuingilia

Ni hayo tu ila kwa hayo mengine una haki ya kuhoji!
 
Hapo hupendwi piga chini sepa tena kaa kimya na wewe hapo mwenzio anamfikiriaa mwinginee hana time na wewe
 
atakuwa ana msongo wa mawazo. hebu mpe nafasi na muda.
 
Good advice!!Sisi wanawake tunajirahisisha sana kwa wanaume halafu hatuishi kulalalamika hatupendwi sijui tunachezewa wakati ukweli wa mambo tunaujua....Kuna wanaume wanafiki sana wapo tayari mkao wa kula tu kukujaribu aonje cookie yako ka imekolea sukari au kama ina chocolate za kutosha si ndio Eli79!!!!A friend of mine once told me MEN ARE JUST LIKE FOXES!!!Matumaini yangu love peace alitumia kinga au akajipime ukimwi!!
mimi49, long time no see... Hujambo lakini?
 
Last edited by a moderator:
nice sunday wana jf,

Nirudi katika mada,yan nashindwa kuelewa nimueleweje huyu mwanaume wangu wa sasa.Tuna mahusiano ya kama miezi miwil lakin gafla naona amebadilika hanijali hata nikienda kwake anaweza toka nje kupiga story na rafik zake na akaniacha ndani.

No sms kama zamani wala hana mda hata wa kutoka na mimi na hata fb yake hataki nijue password yake.

Sina amani na mahusiano haya.kweli ana pesa,mtanashati lakin sioni raha ya mahusiano.nikimuliza ananiambia dada zake wamegombana nyumbani ndo mana amekuwa hivyo lakini sidhani kama ni sababu.

Nisaidieni cha kufanya wana jf nina mawazo sana.

hayo yote uliyoyaandika hapo ni MANYOYA. ukishayaona hayo ujue tu kaliwa tayari.
 
nice sunday wana jf,

Nirudi katika mada,yan nashindwa kuelewa nimueleweje huyu mwanaume wangu wa sasa.Tuna mahusiano ya kama miezi miwil lakin gafla naona amebadilika hanijali hata nikienda kwake anaweza toka nje kupiga story na rafik zake na akaniacha ndani.

No sms kama zamani wala hana mda hata wa kutoka na mimi na hata fb yake hataki nijue password yake.

Sina amani na mahusiano haya.kweli ana pesa,mtanashati lakin sioni raha ya mahusiano.nikimuliza ananiambia dada zake wamegombana nyumbani ndo mana amekuwa hivyo lakini sidhani kama ni sababu.

Nisaidieni cha kufanya wana jf nina mawazo sana.

Hayatuhusu. This is your private business. Kama huna cha kuandika soma michango ya wenzako
 
Hadi kutuletea humu tatizo ina maana limeshakushinda peke yako.

Ji-rejuvenate kama vipi...ikishindikana tangaza vacancy wadau wa-apply.

Ndo zetu sisi kina 'boyfriends' nakukula, halafu nikiona hueleweki kifuture(huna muelekeo/huna influence/unanitegemea sanaa) basi nakuletea visa ili wenzako pia wapate nafasi.
 
Hivi mkiwa kwenye mahusiano vitu kam password za fb na mmu ni lazima mwenzako azifahamu?
 
Pole sana jipange upya asee ...keshamaliza haja yake...

Nikwambie tu dada yangu,sisi wanaume tuna kawaida hii, Mwanamke akikubali haraka. Pindi atongozwapo na kuwa mwepesi kugegedwa basi ujue hapo hakuna penzi la kudumu! Kubaliana na mwanamuziki aliyeimba wimbo uitwao " USINIKUBALI HARAKA"
 
Habari wana JF,

Nirudi katika mada,yan nashindwa kuelewa nimueleweje huyu mwanaume wangu wa sasa.

Tuna mahusiano ya kama miezi miwil lakini ghafla naona amebadilika hanijali hata nikienda kwake anaweza toka nje kupiga story na rafik zake na akaniacha ndani.

No sms kama zamani wala hana muda hata wa kutoka na mimi na hata FB yake hataki nijue password yake.

Sina amani na mahusiano haya.

kweli ana pesa,mtanashati lakini sioni raha ya mahusiano.nikimuliza ananiambia dada zake wamegombana nyumbani ndo mana amekuwa hivyo lakini sidhani kama ni sababu.

Nisaidieni cha kufanya wana jf nina mawazo sana.

Na akuache tu! kwa sentensi hii wewe huna mapenzi ya dhati, na nukuu "KWELI ANA PESA"
 
Good advice!!Sisi wanawake tunajirahisisha sana kwa wanaume halafu hatuishi kulalalamika hatupendwi sijui tunachezewa wakati ukweli wa mambo tunaujua....Kuna wanaume wanafiki sana wapo tayari mkao wa kula tu kukujaribu aonje cookie yako ka imekolea sukari au kama ina chocolate za kutosha si ndio Eli79!!!!A friend of mine once told me MEN ARE JUST LIKE FOXES!!!Matumaini yangu love peace alitumia kinga au akajipime ukimwi!!

Not all men@mimi49
 
Habari wana JF,

Nirudi katika mada,yan nashindwa kuelewa nimueleweje huyu mwanaume wangu wa sasa.

Tuna mahusiano ya kama miezi miwil lakini ghafla naona amebadilika hanijali hata nikienda kwake anaweza toka nje kupiga story na rafik zake na akaniacha ndani.

No sms kama zamani wala hana muda hata wa kutoka na mimi na hata FB yake hataki nijue password yake.

Sina amani na mahusiano haya.

kweli ana pesa,mtanashati lakini sioni raha ya mahusiano.nikimuliza ananiambia dada zake wamegombana nyumbani ndo mana amekuwa hivyo lakini sidhani kama ni sababu.

Nisaidieni cha kufanya wana jf nina mawazo sana.

My simple Advice " The only guy you need in your life is the one that proves that he needs you in his",otherwise its better to move on!
 
Back
Top Bottom