Mapenzi haya yatanishinda

Mapenzi haya yatanishinda

utaakuwa too demanding ndo maana umeorodhesha pesa mbona ujaweka umri na mambo mengine ya kiiwemo kazi yake na yako kumpa mwanaume utamu si chanzo cha kukuacha hata siku moja yaani umpe mtu tamu ile ya haswa alafu akuache hapana nani hapendi kitu kitamu?
 
Fanya kama one night stand basi then mpotezee fanya mambo yako achana nae kama unaona uwezi kumsahau kwa urahisi tafuta kitu kitakachokufanya uwe busy sana at the end utamsahau kabisa
 
Shosti huyo nadhani ulimtesa sana sasa zamu yako ..lol
Usiende tena wala usimulize tulia kimnya kama anakutaka utauona umuhimu wako la hakutaki utajipanga,dharau gani izo
wewe umemfata yeye sasa anatoka njee kwani ulifata kukaa chumbani kwake au umemfata yeye? au niseme akufukuzae
hakwambii toka,na jengine shosti usiwe mwepesi wa kwenda kwa mwanamme usijishushe sana...samahani kama ntakua nimekukera...
 
hesabu maumivu kama umeishampa papuchi basi tena ameishakuonja hana hamu tena na wewe,kwani kabla hujampa papuchi alikuwa hivyo?

no hakuwa hivyo.but mbona anaomba tena papuchi?ingawa matendo yake ni yaleyale.
 
Mi nimeshangaa yaani ndani ya miezi miwili unataka "password" ya Facebook inaonekana na simu yake unapenda ukague kuna nini na nawasiliana na kinani.Alafu inaonekana unataka akuambie ataoa lini
 
natamani nimwambie mapema kwamba tuachane kabla hajaniacha yeye ni sahihi?
Jeuri dawa yake nikiburi' kwanini uhangaike kumwambia? Na kujihangaisha kumuambia nikama unajibembeleza kwake! We mkaushie akijishaua kukutafuta mwambie hina mda ili nayeye aumie!
 
Mi nimeshangaa yaani ndani ya miezi miwili unataka "password" ya Facebook inaonekana na simu yake unapenda ukague kuna nini na nawasiliana na kinani.Alafu inaonekana unataka akuambie ataoa lini

wala huwa sikagui simu yake,tena yeye ndo huwa anasoma my msgs.na kuhusu ndoa wala siongelei ila yeye ndo anapenda kuongelea na analazimisha kuja kwa wazazi wangu nimtambulishe.but just one day nikataka kuingia facebook yake tena juzi hapa.
 
wala huwa sikagui simu yake,tena yeye ndo huwa anasoma my msgs.na kuhusu ndoa wala siongelei ila yeye ndo anapenda kuongelea na analazimisha kuja kwa wazazi wangu nimtambulishe.but just one day nikataka kuingia facebook yake tena juzi hapa.

kama huwa haukaguwi simu yake na wala haujawahi kusema kuhusu kuolewa. Lakini ameisha kula mzigo basi ujue alikuwa anakutami au kuna kitu anacho ila hataki kukuambia

VIP MZIGO AMEISHA KULA?
 
Ngumu sana kuwashauri wavulana na wasichana...ngumu sana
 
nice sunday wana jf.
Nirudi katika mada,yan nashindwa kuelewa nimueleweje huyu mwanaume wangu wa sasa.tuna mahusiano ya kama miezi miwil lakin gafla naona amebadilika hanijali hata nikienda kwake anaweza toka nje kupiga story na rafik zake na akaniacha ndan.no sms kama zaman wala hana mda hata wa kutoka na mim.na hata fb yake hataki nijue password yake.sina aman na mahusiano haya.kweli ana pesa,mtanashati lakin sioni raha ya mahusiano.nikimuliza ananiambia dada zake wamegombana nyumbani ndo mana amekuwa hivyo.lakin sidhani kama ni sababu,nisaidieni cha kufanya wana jf nina mawazo sana...

Pole sana,kabla ya kukushauri,napenda kujua historia yako na huyo mwanaume,alianza kukutongoza lini? Na kabla ya kua naye uliwahi kuwa na mpenzi? Nijibu then nitakupa ushauri wa kitu gani kifanyike
 
just get busy wth ur busness,just let him go!!some1 is waiting 4 u wth a true love
 

Attachments

  • 1391937483259.jpg
    1391937483259.jpg
    8.2 KB · Views: 365
sisi wenye watoto wa kike tukisoma sms kama hizi machozi yanatutoka hivi binti yangu nae atafanyiwa hivi kweli lol pole sana binti huyo kashapata alichotaka
 
Hvi mnapoambiwa 'TRUE LOVE IS A MYTH' mnakuwa hamuelewi??
My dear sister mtoa mada...hapo kinachofata ni kibuti aka a BIG BACK STAB ...
YOU MUST REALIZE U GOT NOTHING TO LOSE,penzi ushakosa na PESA PIA???....changamka b4 ts late,..huyo unamjua vizuri so make ur way,wanapewa wenzako ujue ohoo..
Shaurilo km u dont take my advice...UTALIA MWENYEWE,walau the nice things u can buy and spend with his money vitaku'comfort,
 
hapo hakuna upendo
dada zake wakigombana wewe unahusikaje hapo?

pole sana..jitathmini uchukue hatua mapema..kuepusha maumivu ya kila siku
 
nice sunday wana jf.
Nirudi katika mada,yan nashindwa kuelewa nimueleweje huyu mwanaume wangu wa sasa.tuna mahusiano ya kama miezi miwil lakin gafla naona amebadilika hanijali hata nikienda kwake anaweza toka nje kupiga story na rafik zake na akaniacha ndan.no sms kama zaman wala hana mda hata wa kutoka na mim.na hata fb yake hataki nijue password yake.sina aman na mahusiano haya.kweli ana pesa,mtanashati lakin sioni raha ya mahusiano.nikimuliza ananiambia dada zake wamegombana nyumbani ndo mana amekuwa hivyo.lakin sidhani kama ni sababu,nisaidieni cha kufanya wana jf nina mawazo sana...

Humpendi, unapenda hapo pekundu juu, na hii inawa frustraate sana nie, sipendi wadada kama wewe
 
Hapana Horse ushauri huu sio mzuri kwa huyu binti

Kuna hutu tu uhusiano ka kujuana kwenye dala dala say unashukia midway na mpenzi wako (mlokutana kwenye dala dala siku hiyo) anashuka kituo cha mwisho...anafika anataka ageuze na gari uje umtambulishe kwa ndugu zako na umwoneshe hati za kila kitu nyumbani!

Ndo maana kila siku tunapeana madarasa kuhusu huyu mdudu mahusiano...kugegedana isiwe sababu bwana!
 
Back
Top Bottom