Mapenzi haya yatanishinda

Mapenzi haya yatanishinda

Pole ameshamaliza haja zake, endelea tu na maisha yako.
 
Pole sana! ndiyo mambo ya mjini, unajua wanaume siku hizi tunategwa sana, hata ukiwa na usafiri na HeLa, u hand some baadae, ukiona hivyo umeshazidiwa na mwanamke mwenzio na atakuwa wa karibu na wewe maana angekuwa ni mdada hauna ukaribu nae ange cheat baadae sana ndiyo ungegundua mwenyewe! Ingia msituni kamata mwingine dunia iendelee.
 
Pole sana dada umeshafanya nae mapenzi!? Nataka nikushauri ukijb swali langu.
 
natamani nimwambie mapema kwamba tuachane kabla hajaniacha yeye ni sahihi?
Umwambie wa nini si umpotezee tu mkuu kwani kumwacha mtu mpaka umwambie, actions speeks louder than words. Na wewe muda mfupi tu ushajizoelea kwenda mpaka kwake kabla hata hujamjua??????Pole mwenzio kesha kinaishwa na wewe akikuona anahisi kama kaona zimwi sijui. Wadada jitunzeni eeeh.
 
Tatzo leo mnapenda watu wasiyo type yenu hapo umefata pesa na utanashat lkn huko mtaan kwenu nauhakika kuna kijana anakusumbua sn anakpenda kwa dhat ila coz hana pesa huon thamn yake tambua huwez fika 100 bila kuanza 1
 
hapo hakuna upendo
dada zake wakigombana wewe unahusikaje hapo?

pole sana..jitathmini uchukue hatua mapema..kuepusha maumivu ya kila siku

Mwallu baby mbona hunielewi jamani? Niliku pm lakini kimya why?
 
natamani nimwambie mapema kwamba tuachane kabla hajaniacha yeye ni sahihi?

Mpaka umwambie...wew piga kimya endelea na maisha yako..

Futa namba yake...mblock kila mahali endelea na maisha yako ni ngumu ila ukiamua utaweza....

Kama anakuhitaji atakutafuta..
 
Mnapenda sana baby love, hebu kamuulize mama yako kabla hajaoana na baba yako wao walikuwa wanafanyaje na nini kiliwafanya wakapendana hadi kuoana.

Habari wana JF,

Nirudi katika mada,yan nashindwa kuelewa nimueleweje huyu mwanaume wangu wa sasa.

Tuna mahusiano ya kama miezi miwil lakini ghafla naona amebadilika hanijali hata nikienda kwake anaweza toka nje kupiga story na rafik zake na akaniacha ndani.

No sms kama zamani wala hana muda hata wa kutoka na mimi na hata FB yake hataki nijue password yake.

Sina amani na mahusiano haya.

kweli ana pesa,mtanashati lakini sioni raha ya mahusiano.nikimuliza ananiambia dada zake wamegombana nyumbani ndo mana amekuwa hivyo lakini sidhani kama ni sababu.

Nisaidieni cha kufanya wana jf nina mawazo sana.
 
hao wanaitwa Heart hackers, wanapiga then wanatembea, hatari sana
 
ANA PESA NA MTANASHATI,,,,,,
hapo tu inaonyesha huna mapenzi na huyo mwanaume!!!!!! achia na wenzio hiyo nafasi.....
 
Dah,pole sana.sasa njoo kwangu'mapenzi utapata tena kwa sana.lkn suala la pesa hapa kwangu ni kitendawili.vingine vyote utapata'nicheki
 
Nadhani utakuwa umejifunza kitu hapo next time muonyeshe mwanume kuwa unajithamin kama ana malengo nawe atavumilia..... 8 weeks ni mapema sana na cdhani kama uliluwa umemjua vya kutosha all n all pole.
 
Back
Top Bottom