Mapenzi haya yatanishinda

Mapenzi haya yatanishinda

Shosti huyo nadhani ulimtesa sana sasa zamu yako ..lol
Usiende tena wala usimulize tulia kimnya kama anakutaka utauona umuhimu wako la hakutaki utajipanga,dharau gani izo
wewe umemfata yeye sasa anatoka njee kwani ulifata kukaa chumbani kwake au umemfata yeye? au niseme akufukuzae
hakwambii toka,na jengine shosti usiwe mwepesi wa kwenda kwa mwanamme usijishushe sana...samahani kama ntakua nimekukera...

Nice.....
 
no hakuwa hivyo.but mbona anaomba tena papuchi?ingawa matendo yake ni yaleyale.

Hehehheeeee mwanaume ni mtu wa ajabu sana anaweza asikupende na aka enjoy papuchi yako mpnz..... sorry 2 disappointed u
 
utaakuwa too demanding ndo maana umeorodhesha pesa mbona ujaweka umri na mambo mengine ya kiiwemo kazi yake na yako kumpa mwanaume utamu si chanzo cha kukuacha hata siku moja yaani umpe mtu tamu ile ya haswa alafu akuache hapana nani hapendi kitu kitamu?

Lol....
 
Habari wana JF, Nirudi katika mada,yan nashindwa kuelewa nimueleweje huyu mwanaume wangu wa sasa. Tuna mahusiano ya kama miezi miwil lakini ghafla naona amebadilika hanijali hata nikienda kwake anaweza toka nje kupiga story na rafik zake na akaniacha ndani. No sms kama zamani wala hana muda hata wa kutoka na mimi na hata FB yake hataki nijue password yake. Sina amani na mahusiano haya. kweli ana pesa,mtanashati lakini sioni raha ya mahusiano.nikimuliza ananiambia dada zake wamegombana nyumbani ndo mana amekuwa hivyo lakini sidhani kama ni sababu. Nisaidieni cha kufanya wana jf nina mawazo sana.
Kama vipi njoo pande hizi kuna relief.
 
yes imepita kama siku tano tu.
Yani wewe miezi 2 umeshamvulia pichu. Ndio maana anakuona kama changu. Mwanzo alifikiri utamsumbua baadae akagundua kumbe wewe ni mama huruma. Halafu baada ya kumvulia atakuwa amekutana na handaki bonge la pango na injini imetumika kilometa kibao ndio maana hana hamu na wewe tena.
 
Wee nawe ni andaz au kilaza. Mwanamke kujiamini na kakutiktia tntend vuta handbreak park gari au unasubiriwa uambiwe toka,ckutak,mwanamke gani wee,papuch imetumika mpk imeisha ladha,papuch pana kama mdomo wa karai nk. Bibi wee kusoma hujui hata kutazama picha uwezi?? Au ndo nyie wa wale wa ooh bby cna crdt,mbona jmn. Cuninulii zawadizawadi kama zmn na boom nyng.sepa mapeema
 
Mwanaume kama hajakupenda akisha kulala ndio imetoka.... huwa tuna-lose interest kabisa unless niwe nakupenda sana
 
Dada huyo hana hata muda na ww,ugomvi wa dada zake unahusianaje na mahusiano yenu? na kama hicho ndo kinachomfanya asiwe na raha inakuwaje akiwa na marafiki zake ana raha?fla naona amebadilika hanijali hata nikienda kwake anaweza toka nje kupiga story na rafik zake na akaniacha ndani.

No sms kama zamani wala hana muda hata wa kutoka na mimi na hata FB yake hataki nijue password yake.

Sina amani na mahusiano haya.

kweli ana pesa,mtanashati lakini sioni raha ya mahusiano.nikimuliza ananiambia dada zake wamegombannyumbani ndo mana amekuwa hivyo lakini sidhani kama ni sababu.

Nisaidieni cha kufanya wana jf nina mawazo sana.[/QUOTE]
 
Yani siku 60 tu!! Hahahhuwezi ita mahusiano hayo. Ilikua uwe wa mara 1 ukaleta kungangania. He is done with u dada, hakuna mapenzi hapo!
Sasa hata mda wa kupendana kwa dhati ilikua lini?
 
Yani siku 60 tu!! Hahahhuwezi ita mahusiano hayo. Ilikua uwe wa mara 1 ukaleta kungangania. He is done with u dada, hakuna mapenzi hapo!
Sasa hata mda wa kupendana kwa dhati ilikua lini?

najua alichofanya niamin kuwa ananipenda,alilazimisha kujitambulisha kwa wazazi wang.nikajua ana mapenz na mim aiseee!ctarudia hili kosa jaman dah!.....
 
Yani wewe miezi 2 umeshamvuliya pichu. Ndio maana anakuona kama changu. Mwanzo alifikiri utamsumbua baadae akagundua kumbe wewe ni mama huruma. Halafu baada ya kumvulia atakuwa amekutana na handaki bonge la pango na injini imetumika kilometa kibao ndio maana hana hamu na wewe tena.

mmmmh... Jamani, miwzi miwili ni mda mfupi? Watu wanakutana ndani ya 24hrs habari imeisha, we unaongea 60 days, mi naona huyo jamaa hakumpenda ndo maana kamtema, wala sio swala la kumpa cookie yake mapema.
 
Back
Top Bottom