Mapenz ya whatsapp..

Mapenz ya whatsapp..

MAPENZI KWA HISANI YA WHATSAPP...CHEZEA
WEYE

MKAKA: Hello Babe.... (11:45pm)

MDADA: (last seen at 11:46pm)

MKAKA:Nijibu tafadhali ( 11:50pm)

MDADA: (last seen at 11:52pm)

MKAKA: Mbona unanifanyia hivi? Mbona hujibu? (00:00am)

MDADA: (last seen at 00:01am)

MKAKA: Ok usiku mwema baby, nilitaka2 kukwambia tu kuwa zile pesa nilizokwambia nilikuwa nadai nimepata. Nimeweka pembeni laki tano kwa ajili ya shopping yako ya Krismas, naona hujibu kwa hiyo bye baby…… (00:01 am)

MDADA: (typing): Ohh! Hi dear... Actually nilikuwa
na mom nikawa nashindwa kukujibu ... wow darling najua roho yako sasa imetulia umelipwa deni lako.. I love you a lot... Unataka twende shopping saa ngapi? (00:05am)

MKAKA: (last seen 00:06am)

MDADA: Baby nijibu basi, nijibu nijue muda gani
nijitayarishe, nijibu betry yangu inaisha chaji baby,
nijibu sasa hivi (00:08am)

MKAKA: (last seen 00:09am)

MDADA: Naweka simu kwenye chaji dakika mbili
baby (00:10am)

MKAKA: (last seen 00:12am)

MDADA: Babes, najua nilikwambia usiwe unanipigia simu baada ya saa mbili usiku, lakini piga tu mom ameshalala (00:25)

MDADA: (typing): Ok, najua umelala ntakupigia
asubuhi. Na kesho kama unaweza kuja njoo tu mom anaenda kumtembelea rafiki yake mi ntakuwa alone siku nzima G9t baby miss you (00:30am)

MKAKA: (last seen 00:32)

Wadada wa siku hizi dunia nzima hakuna anaependa mtu...ni noti kwanza mengine baadae..chezea wewe watu wanawekeza kama saccos vile
 
hako ka last seen kanaboa kwa kweli yaani...:A S 39:
 
yatakuja mengi na kaka ,dada, na wadogo wa whatsapp malimbukeni watalipuka na kila lijalo kurahisisha uzinifu wao
 
itakuwa vizur waje


1.Zima internet connection yako.

2.Fungua application yako ya WhatsApp, soma msg zote na utume msg unazotaka kutuma.
3.Funga application yako na washa internet yako. Mara tu utakaporuhusu internet connection WhatsApp itasync na servers na itatuma message zote ulizoziandika bila server kutambua ni wakati gani umesoma na kutuma meseji hizo.
Kwa watumiaji wa iPhone
Ni rahisi sana kwa watumiaji wa iPhone kutoalast seen
nenda settings>> Advanced>> Last seen Timestamp na uizime hiyo timestamp
Kwa watumiaji wa Android, BlackBerry, Windows Phone na Symbian phones wanaweza fanya hivyo kwa kutumia manual disable last seen kama nilivyoelezea hapo juu
 
hako ka last seen kanaboa kwa kweli yaani...:A S 39:

Hata mim kananiboaaa balaa hua kananiletea ugomvi kila siku mara ioo hiv huwa unachart na nan kila saaa oooh yaan we muda wote ni kushinda watsapp aaaaaarghrgrgrgf
 
asante mkuu
1.Zima internet connection yako.

2.Fungua application yako ya WhatsApp, soma msg zote na utume msg unazotaka kutuma.
3.Funga application yako na washa internet yako. Mara tu utakaporuhusu internet connection WhatsApp itasync na servers na itatuma message zote ulizoziandika bila server kutambua ni wakati gani umesoma na kutuma meseji hizo.
Kwa watumiaji wa iPhone
Ni rahisi sana kwa watumiaji wa iPhone kutoalast seen
nenda settings>> Advanced>> Last seen Timestamp na uizime hiyo timestamp
Kwa watumiaji wa Android, BlackBerry, Windows Phone na Symbian phones wanaweza fanya hivyo kwa kutumia manual disable last seen kama nilivyoelezea hapo juu
 
Back
Top Bottom