KISHOKA_ZUMBU
Senior Member
- Apr 4, 2012
- 163
- 78
Mheshimiwa Spika naomba Muongozooooooooooooooooooooo!!!!!!!!!!!!!!!!!!
We mtetee tu ila ujue ndio unamharibia. Take it from me brodayour not bound !
Ukisikia kudandia hoja ndio huko. Ulikuwa huna ubunifu wa kujuwa yote hayo mpaka umsikie Kikwete? hapo ndipo unapotudhihirishia kuwa wewe ni dhaifu wa hoja.
Uchukuwe hoja za mtu uzigeuzegeuze halafu uje humu na uende bungeni ukajidai hoja zako? Kijana naona umeishiwa kama Lema na Slaa.
Ukisikia kudandia hoja ndio huko. Ulikuwa huna ubunifu wa kujuwa yote hayo mpaka umsikie Kikwete? hapo ndipo unapotudhihirishia kuwa wewe ni dhaifu wa hoja.
Uchukuwe hoja za mtu uzigeuzegeuze halafu uje humu na uende bungeni ukajidai hoja zako? Kijana naona umeishiwa kama Lema na Slaa.
Unajua mapenzi yakizidi yanaaharibu?Magamba's at nasty work.
Pambaf. Kaongelee chooni uharo wako mpuuzi mkubwa wewe.
Hivi hujui kuwa Rais wako Kiwete akishatoa hotuba yoyote ile lazima ipitiwe na watu makini kama kina Mnyika ili waone kama ina tija?Speech yoyote lazima ipitie kwa jopo la critics ili ionekana kama inafaa kwa Watanzania au ni uharo kama huu wa kwako.
Mnyika ni dogo janja kiukweli. Jinsi alivoichambua hotuba ya Kiwete amedhihirisha ni kichwa na jembe hasa si kwa CHADEMA tu baali kwa Bunge,Serikali na Tanzania yote kwa ujumla wake. Ni mwendawazimu tu ka wewe na magamba yote ya CCM ndiwo wanaoweza kupingana na ukweli huu.
Mnyika umeongea.umesikika na umeeleweka. Bravo.
Mbona rais hajazungumzia ukosefu wa vifaa hospital
Hapo ndipo alipo niacha hoi kwa hiyo wakazi wa dar na kigoma hawaheshimiwi wala kuthaminiwa......mana hawa waliahidiwa flyover na wengine kuwa kama dubai.:yawn::yawn:kwa sasa hatuwezi kuwaahidi kuwa tunao
uwezo wa kuwalipa mshahara wa kuanzia wa
shilingi 3,500,000 na posho zote zile. Tukifanya
hivyo malipo ya daktari anayeanza kazi yatakuwa
shilingi 7,700,000. Kwa hakika kiasi hicho
hatutakiweza. Si vyema kutoa ahadi hewa kwa
watu tunaowaheshimu na kuwathamini kama
walivyo madaktari, alisema Kikwete.
Ukisikia kudandia hoja ndio huko. Ulikuwa huna ubunifu wa kujuwa yote hayo mpaka umsikie Kikwete? hapo ndipo unapotudhihirishia kuwa wewe ni dhaifu wa hoja.
Uchukuwe hoja za mtu uzigeuzegeuze halafu uje humu na uende bungeni ukajidai hoja zako? Kijana naona umeishiwa kama Lema na Slaa.
Ukisikia kudandia hoja ndio huko. Ulikuwa huna ubunifu wa kujuwa yote hayo mpaka umsikie Kikwete? hapo ndipo unapotudhihirishia kuwa wewe ni dhaifu wa hoja.
Uchukuwe hoja za mtu uzigeuzegeuze halafu uje humu na uende bungeni ukajidai hoja zako? Kijana naona umeishiwa kama Lema na Slaa.
unanichekesha sana mkuu dr Slaa kaingiaje hapa? Kweli anawatesa sana.Ukisikia kudandia hoja ndio huko. Ulikuwa huna ubunifu wa kujuwa yote hayo mpaka umsikie Kikwete? hapo ndipo unapotudhihirishia kuwa wewe ni dhaifu wa hoja.
Uchukuwe hoja za mtu uzigeuzegeuze halafu uje humu na uende bungeni ukajidai hoja zako? Kijana naona umeishiwa kama Lema na Slaa.
Mihimili iko mi3 ni kweli.
Lakini ikumbukwe Head of State hapatikani kutoka katika kila muhimili.
Ni muhimili mmoja kati ya mi3 ndiyo una TOP (RAIS)
1. RAIS
2. SPIKA
3. JAJI MKUU
Aidha AMIRI JESHI MKUU
Anayo mamlaka ya kuongea chochote atakachoona kinafaa , kwa maslahi ya Taifa.
"State of emergency" situation requiring immediate action.