ostrichegg
JF-Expert Member
- Jun 30, 2013
- 12,048
- 6,199
WATANZANIA WENGI TUMESHAAMUA KUWA HATUTAMCHAGUA LOWASSA, porojo tunawaachia wapumbavu.
Kama hutaki kasage chupa, changanya na maji kisha kunywa, ni dawa!!
Hoja zimeisha? Matusi tena !!!!!
WATANZANIA WENGI TUMESHAAMUA KUWA HATUTAMCHAGUA LOWASSA, porojo tunawaachia wapumbavu.
Kama hutaki kasage chupa, changanya na maji kisha kunywa, ni dawa!!
Anatematema tu mate akiongea, ulie nae karibu lazima uloane!!
PhD holder anapimwa kwa uwezo wake wa kuchambua mambo siyo kwa ushabiki wa kipumbavu kama wa mwendawazimu Azaveli lwaitama. Mzee mzima anakosa busara anaongea pumba.shenzi sana.
masahihisho: lengo ni kuwapotezea muda CHADEMA na UKAWA wasipate kujipanga vema na kampeni na uchaguzi. huyu atakuwa amekuwa 'corrupt' na CCM.
Dr. Slaa ametoa changamoto kwa Lowassa na Sumaye wazijibu hoja zake sio wajibiwe na mtu mwingine.. Personal and Integrity Challenge!!! They have to come out clean kama kweli wanataka kupanda treni ya mabadiliko ya kweliSoma tena amejibu issues.
​Siamini kama hii ndio 'LEVEL' ya Dr. Lwaitama!
ni yake kutoka usawa wa bahari ya hindi​siamini kama hii ndio 'level' ya dr. Lwaitama!
Babu Slaa apuuzwe, amegeuka mchumia tumbo! Ghafla amegeuka kuwa kipenzi cha TBC1, na wa gazeti la Uhuru! Hapo bado hujaelewa tu anaowatumikia?
Tunavyoongea Yuko majuu akila matunda ya jasho lake alilovuja wakati wa hotuba yake na waandishi wa habari!
"Mimi kuanzia wiki jana nimekuwa mwanachama wa Chadema"
Yaani kuanzia wiki jana ndo unajifanya unaijua Chadema wewe prof. uliyefulia? Unaijua Chadema kuliko Dr. Slaa wewe? Njaa tu inakusumbua hakuna lolote na ungekuwa bado Mlimani sidhani kama ungekuwa unahangaika hivi!
Mimi nimesikitishwa na kuhuzunishwa mno na hotuba ya dr. Slaa jana...kama nilivyosema kuhusu mwanangu Zito hapo nyuma na sema hivyo hivyo kwa rafiki yangu Dr Slaa sasa...wote ni WASALITI wa vuguvugu la uma la kukiondoa chama dola cha CCM madarakani...
Mimi kuanzia wiki iliyopita ni mwana chama wa Chadema...kadi nilinunua Dar es Salaam makao makuu ya Chadema DSM na nilikabidhiwa na mwanangu Benson Kigaila Dodoma , mji mkuu wa Tanania , Jumapili iliyopita wakati wa ufunguzi wa kampeni ya Benson Kigaila ya kuwania Ubunge Doadoma Mjini... Benson Kigaila ni kati ya wajamaa wengi tu ndani ya chama cha kibepari cha mrengo wa kati cha Chadema kilichoanzishwa na matajiri kama mzee Mtei na mwanagu Mbowe ambao, kama Ndg Lowasa , ni wazalendo matajiri wanaochukia umasikini na wangetamani kuwasaidia Watanzania wengi iwezekanavyo kuwa matajiri...
Inanikumbusha Prof Mohamed Babu mwaka 1995 alipotoa kauli mbiu ya let people be rich....Tena Lowasa ndani ya UKAWA si rahisi awe dikteita kama ambavyo angekuwa ndani ya CCM ..walau tutapata muungano wa serikali tatu na tuanzisha mchakato katiba upya ikiwa ni pamoja na kuanzisha mchakato wa katiba za nchi washirika za Tanganyika na Zanzibar....
Mwaka 2010 kuwepo na Friends of Slaa ilikuwa muafaka ...leo tunaitaji FRIENDS OF UKAWA NO more need to be neutral......sasa ni lazima kuunganisha nguvu zote za kisiasa toka vyama vyote pamoja na CCM ..kuunganisha wote wenye kukiri kwa sababu zao mabalimbali kuwa wanajiunga na vuguvugu la wenye kiu ya kuondoa CCM madarakani na kupata ukombozi awamu ya pili chini ya katiba ya wananchi inayo lenga kupunguza madaraka ya Rais wa Muungano na kuwepo Muungano wa serikali tatu...
Dr Slaa, kama ilivyo kuwa kwa wanangu Zito na Prof Mkumbo historia itawahukumu inavyostahiki kwa kukipa chama cha CCM another lease of life beyond its expiry date...
Mwl. Lwaitama
Slaaaaa kapuliziwa dawa,leo akiulizwa alichokisema jana hawezi kukumbuka,amejikaanga kwa mafuta yake mwenyewe.
Dr.Lwaitama ni miongoni mwa Wasomi wachache wa TZ wanaotumia vichwa kuwaza ....well altered Mwl wang
Ni Mungu yupi unae mrejea hapa? Msimuhusishe Mungu katika mambo yenu ya kifidadi na ya kishirikina. Kama unafuata mkumbo afadhali. Lakini si bure mmelogwa nyinyi.