Maoni ya Dr. Lwaitama Kuhusu Hotuba ya Dr. Slaa...

Maoni ya Dr. Lwaitama Kuhusu Hotuba ya Dr. Slaa...

Yaani tajiri amsaidie masikini awe tajiri kama yeye.?
Mbaya zaidi, analeta cheap politics.

Hajajibu hata hoja moja ya Dk. Slaa.

Hoja za Dk. Slaa huwezi kuzijibu kwa kutumia cheap politics.

Eti anasema Dk. Slaa ni msaliti. Hivi anafahamu maana ya neno usaliti katika mantiki ya Lowassa, CHADEMA na Dk. Slaa?
 
watu wanaosema maneno machache kama huyu Dr. huwa wanamaanisha kuliko mtu anayesema mambo kibao wakati swali ni moja tu.
 
Yaani tajiri amsaidie masikini awe tajiri kama yeye.?

Masikini amsaidie masikini mwenzake kuwa tajiri...ninachokiona masikini akipata fursa atataka atajirike kwanza mpaka akinai ndio aangalie wengine
 
Kweli nimeamini kumpiga teke chura ni kumuongezea speed ccm hawajui kujipanga mbinu za kizamani sana hizo kununua wapinzani nadhani wanajua labda ss ni wale wa 95 enzi za mrema yani toka hana slaa afanye yake huku mitaani kwa malofa na wapumbavu ndio kwaanza kunazidi kumweka lowasa juu wanakosea sana jamani ile team yao ya 2005 iko wapi?waje waokoe jahazi maana ni kweli kwenye bundukiyao ilikua imebaki risasi moja tu sasa nayo imeshindwa kulenga shabaha UKAWA ndio habari ya mjini now
 
  • Thanks
Reactions: Awo
Hata Nabii Musa hakuwafikisha waisraeli kwenye Nchi ya ahadi, walifikishwa na Joshua
 
You are dead alive my friend! Huamini kuwa tajiri anaweza kumsaidia maskini kuwa tajiri! Basi naona kwako unaamini maskini anaweza kumsaidia maskini mwenzake kuwa tajiri!(Kumbuka utajiri unaozungumzwa hapa si wa kuwagawia wayu fedha mfukoni!
Ni wapi tajiri akamsadia maskini kupata utajiri, kama sio kuzidi kumtumia kujiongezea utajiri.!
 
Yaani tajiri amsaidie masikini awe tajiri kama yeye.?

chief, jibu ni NDIYO. na hapo ndipo penye jawabu la swali aliloshindwa kulijibu mwenyekiti wenu wa CCM (ninaamini kwa kauli yako wewe ni mwana-CCM au pengine umehamia CCM wakati huu kuelekea October) kuhusu kiini cha umasikini wa Watanzania.

angalia jirani zetu Kenya...wanaongozwa na billionaire Uhuru na wanasonga mbele kimaendeleo kwa spidi ya mwanga wa jua na raia wake, ukiondoa adha ya Alshabab ambayo ni "force majeure", wanaendelea kula matunda ya ustawi wa hali zao.
 
Yaani tajiri amsaidie masikini awe tajiri kama yeye.?

Wimbo waTwanga Pepeta uliogusa roho za wengi tuukumbuke wakati tunapoamua kumchagua kiongozi wa Taifa hili 25/10, nao ni "Mtaji wa maskini ni nguvu zake mwenyewe". Sikumbuki bendi iliyojibu wimbo huu kwa wimbo mwingine uliobeba ujumbe huu "mtaji wa tajiri ni nguvu za maskini". Ukijumuisha zote mbili TAJIRI HAWEZI KUWA RAFIKI WA MASKINI.
 
Slaaaaa kapuliziwa dawa,leo akiulizwa alichokisema jana hawezi kukumbuka,amejikaanga kwa mafuta yake mwenyewe.
 
slaa ameshindwa kusoma alama za nyakati, wananchi ndio wanaohitaji mabadiliko zaidi kulilo viongozi
 
Mimi nimesikitishwa na kuhuzunishwa mno na hotuba ya dr. Slaa jana...kama nilivyosema kuhusu mwanangu Zito hapo nyuma na sema hivyo hivyo kwa rafiki yangu Dr Slaa sasa...wote ni WASALITI wa vuguvugu la uma la kukiondoa chama dola cha CCM madarakani...

Mimi kuanzia wiki iliyopita ni mwana chama wa Chadema...kadi nilinunua Dar es Salaam makao makuu ya Chadema DSM na nilikabidhiwa na mwanangu Benson Kigaila Dodoma , mji mkuu wa Tanania , Jumapili iliyopita wakati wa ufunguzi wa kampeni ya Benson Kigaila ya kuwania Ubunge Doadoma Mjini... Benson Kigaila ni kati ya wajamaa wengi tu ndani ya chama cha kibepari cha mrengo wa kati cha Chadema kilichoanzishwa na matajiri kama mzee Mtei na mwanagu Mbowe ambao, kama Ndg Lowasa , ni wazalendo matajiri wanaochukia umasikini na wangetamani kuwasaidia Watanzania wengi iwezekanavyo kuwa matajiri...

Inanikumbusha Prof Mohamed Babu mwaka 1995 alipotoa kauli mbiu ya let people be rich....Tena Lowasa ndani ya UKAWA si rahisi awe dikteita kama ambavyo angekuwa ndani ya CCM ..walau tutapata muungano wa serikali tatu na tuanzisha mchakato katiba upya ikiwa ni pamoja na kuanzisha mchakato wa katiba za nchi washirika za Tanganyika na Zanzibar....

Mwaka 2010 kuwepo na Friends of Slaa ilikuwa muafaka ...leo tunaitaji FRIENDS OF UKAWA NO more need to be neutral......sasa ni lazima kuunganisha nguvu zote za kisiasa toka vyama vyote pamoja na CCM ..kuunganisha wote wenye kukiri kwa sababu zao mabalimbali kuwa wanajiunga na vuguvugu la wenye kiu ya kuondoa CCM madarakani na kupata ukombozi awamu ya pili chini ya katiba ya wananchi inayo lenga kupunguza madaraka ya Rais wa Muungano na kuwepo Muungano wa serikali tatu...

Dr Slaa, kama ilivyo kuwa kwa wanangu Zito na Prof Mkumbo historia itawahukumu inavyostahiki kwa kukipa chama cha CCM another lease of life beyond its expiry date...
Mwl. Lwaitama

Siamini Dr Lwaitama anaweza kukimbia hoja kwa kutoa maelezo mepesi yasiyojibu hoja hata moja ya Dr Slaa. Nitaendelea kumheshimu mpaka atakapothibitisha yeye mwenyewe kama kweli ameamua kuzikwepa hoja za Dr Slaa kwa kutoa maelezo mepesi kiasi hicho.
 
Bukanga

Dr Gani Hajui Hata Kuvaa Na Hajipendi? Huyo Lwaitama Alichobakiza Tu Ni Kuokota Makopo Kwani Ana Kila Vimelea Vya Mtu Aliyechanganyikiwa. Labda Sasa Amehamia CHADEMA + UKAWA Ataacha Kunywa Gongo Na Kuunguza Ule Mdomo Wake Ambao Muda Wote Lips Zake Ni Nyekundu Tu. Hivi Ni Kwanini CHADEMA + UKAWA Mnapenda Sana Kukumbatia Mizinga Ya Nyuki Namna Hii?

Is this how you respond to his arguments? Poor you
 
Last edited by a moderator:
Sijawahi kuona padre mwenye chuki kama huyu, alipoitwa kamati kuu, ni kama alienda kuungama akubaliwa akataja kuwa
 
Mimi nimesikitishwa na kuhuzunishwa mno na hotuba ya dr. Slaa jana...kama nilivyosema kuhusu mwanangu Zito hapo nyuma na sema hivyo hivyo kwa rafiki yangu Dr Slaa sasa...wote ni WASALITI wa vuguvugu la uma la kukiondoa chama dola cha CCM madarakani...

Mimi kuanzia wiki iliyopita ni mwana chama wa Chadema...kadi nilinunua Dar es Salaam makao makuu ya Chadema DSM na nilikabidhiwa na mwanangu Benson Kigaila Dodoma , mji mkuu wa Tanania , Jumapili iliyopita wakati wa ufunguzi wa kampeni ya Benson Kigaila ya kuwania Ubunge Doadoma Mjini... Benson Kigaila ni kati ya wajamaa wengi tu ndani ya chama cha kibepari cha mrengo wa kati cha Chadema kilichoanzishwa na matajiri kama mzee Mtei na mwanagu Mbowe ambao, kama Ndg Lowasa , ni wazalendo matajiri wanaochukia umasikini na wangetamani kuwasaidia Watanzania wengi iwezekanavyo kuwa matajiri...

Inanikumbusha Prof Mohamed Babu mwaka 1995 alipotoa kauli mbiu ya let people be rich....Tena Lowasa ndani ya UKAWA si rahisi awe dikteita kama ambavyo angekuwa ndani ya CCM ..walau tutapata muungano wa serikali tatu na tuanzisha mchakato katiba upya ikiwa ni pamoja na kuanzisha mchakato wa katiba za nchi washirika za Tanganyika na Zanzibar....

Mwaka 2010 kuwepo na Friends of Slaa ilikuwa muafaka ...leo tunaitaji FRIENDS OF UKAWA NO more need to be neutral......sasa ni lazima kuunganisha nguvu zote za kisiasa toka vyama vyote pamoja na CCM ..kuunganisha wote wenye kukiri kwa sababu zao mabalimbali kuwa wanajiunga na vuguvugu la wenye kiu ya kuondoa CCM madarakani na kupata ukombozi awamu ya pili chini ya katiba ya wananchi inayo lenga kupunguza madaraka ya Rais wa Muungano na kuwepo Muungano wa serikali tatu...

Dr Slaa, kama ilivyo kuwa kwa wanangu Zito na Prof Mkumbo historia itawahukumu inavyostahiki kwa kukipa chama cha CCM another lease of life beyond its expiry date...
Mwl. Lwaitama

Njaa itakuua, na usomi wako nashindwa kujadili hoja unajadili mtu
 
Back
Top Bottom