you my true hero...god bless you sir.mimi nimesikitishwa na kuhuzunishwa mno na hotuba ya dr. Slaa jana...kama nilivyosema kuhusu mwanangu zito hapo nyuma na sema hivyo hivyo kwa rafiki yangu dr slaa sasa...wote ni wasaliti wa vuguvugu la uma la kukiondoa chama dola cha ccm madarakani...
Mimi kuanzia wiki iliyopita ni mwana chama wa chadema...kadi nilinunua dar es salaam makao makuu ya chadema dsm na nilikabidhiwa na mwanangu benson kigaila dodoma , mji mkuu wa tanania , jumapili iliyopita wakati wa ufunguzi wa kampeni ya benson kigaila ya kuwania ubunge doadoma mjini... Benson kigaila ni kati ya wajamaa wengi tu ndani ya chama cha kibepari cha mrengo wa kati cha chadema kilichoanzishwa na matajiri kama mzee mtei na mwanagu mbowe ambao, kama ndg lowasa , ni wazalendo matajiri wanaochukia umasikini na wangetamani kuwasaidia watanzania wengi iwezekanavyo kuwa matajiri...
Inanikumbusha prof mohamed babu mwaka 1995 alipotoa kauli mbiu ya let people be rich....tena lowasa ndani ya ukawa si rahisi awe dikteita kama ambavyo angekuwa ndani ya ccm ..walau tutapata muungano wa serikali tatu na tuanzisha mchakato katiba upya ikiwa ni pamoja na kuanzisha mchakato wa katiba za nchi washirika za tanganyika na zanzibar....
Mwaka 2010 kuwepo na friends of slaa ilikuwa muafaka ...leo tunaitaji friends of ukawa no more need to be neutral......sasa ni lazima kuunganisha nguvu zote za kisiasa toka vyama vyote pamoja na ccm ..kuunganisha wote wenye kukiri kwa sababu zao mabalimbali kuwa wanajiunga na vuguvugu la wenye kiu ya kuondoa ccm madarakani na kupata ukombozi awamu ya pili chini ya katiba ya wananchi inayo lenga kupunguza madaraka ya rais wa muungano na kuwepo muungano wa serikali tatu...
Dr slaa, kama ilivyo kuwa kwa wanangu zito na prof mkumbo historia itawahukumu inavyostahiki kwa kukipa chama cha ccm another lease of life beyond its expiry date...
Mwl. Lwaitama
Mtu imara bila taasisi imara ni ujinga pia ,kaungane na Mh Wasira katika utabiri maana inaonekana bado unayo ilimu ya mkoloni kichwani mwako.Unafikiri unavyofikiri ndio mwisho wa upeo wa watu wote.
Yaani tajiri amsaidie masikini awe tajiri kama yeye.?
Ameegemea upande gani kwa mtazamo wako ?
Utajiri ama tuseme ustawi kwa jamii nzima hautokani wa wananchi kugawiwa pesa (rejea milioni 50 kwa kila kijiji zinazo ahidiwa na Makufuli au mabilioni ya Kikwete ya sikumbuki mwaka gani lakini ni kati ya 2005-2015), bali jinsi ya ku-manage na ku-organize rasilimali zilizomo nchini ikiwa ni pamoja na raslimali watu kama wewe ziweze kunufaisha jamii nzima. Hapa hatuzungumzii ubilionea au umilionea, bali kupata huduma na mahitaji yote ya msingi kwa binadamu yaliyo bora. Kama ni elimu kwa wote, iwe elimu bora, kama ni maji safi yawe maji safi na salama na upatikanaji bora kwa wote, kama ni .. kila kitu kipatikane kwa wote na kiwe bora. Huo ndio utajiri wa jamii. Mwanafalsafa Lwaitama yuko sahihi kabisa. CHAGUA MABADILIKO, CHAGUA UKAWA, CHAGUA LOWASSA.
Naunga mkono hoja.Toka lini tajiri akawa na urafiki na maskini? Ni kama paka kuvaa tasbihi/rozali ya dagaa.
Well said Lwaitama. MABADILIKO KWANZA, Sasa train ya MABADILIKO ipo njiani haitapisha mtu yeyote ni mwendo mdundo hadi MAGOGONI
Kwanini wasisaidie hao maskini kwa pesa zao binafsi bila kusubiri kwenda ikulu? kama wao waliweza kuwa matajiri kwanini wengine wasiweze kuupata? hoja dhaifu kabisa kwa mtu anayejiita msomi kuwa na fikra duni kuwa kipimo cha ubora wa maisha ni utajiri! nani amewaambia kuwa watanzania wanataka kuwa matajiri? ina maana watu hao wasipotimiza ndoto zao za urais hawatawasaidia watanzania kuwa matajiri? Lwaitama atuambie, hadi sasa hao matajiri wamewasaidia maskini wangapi kuwa matajiri.
MUNGU yupo PAMOJA NASI WATANZANIA KUJIKOMBOA TUJITIE MOYO TUTAFIKA
Yaani tajiri amsaidie masikini awe tajiri kama yeye.?
Kila siku Raisi wenu kiguu na njia akitafuta msaada, kwani huwa anakwenda nchi masikini?Yaani tajiri amsaidie masikini awe tajiri kama yeye.?
Dr Slaa pole sn,lkn tambua kuwa shetani anauwezo wa kupinga jambo jema kupitia vinywa vya wanadamu lkn shauri la Bwana husimama palepale!!!!
Bukanga
Dr Gani Hajui Hata Kuvaa Na Hajipendi? Huyo Lwaitama Alichobakiza Tu Ni Kuokota Makopo Kwani Ana Kila Vimelea Vya Mtu Aliyechanganyikiwa. Labda Sasa Amehamia CHADEMA + UKAWA Ataacha Kunywa Gongo Na Kuunguza Ule Mdomo Wake Ambao Muda Wote Lips Zake Ni Nyekundu Tu. Hivi Ni Kwanini CHADEMA + UKAWA Mnapenda Sana Kukumbatia Mizinga Ya Nyuki Namna Hii?
Hapa ndio utajua kwanini siasa ni mchezo mchafu..Mimi nimesikitishwa na kuhuzunishwa mno na hotuba ya dr. Slaa jana...kama nilivyosema kuhusu mwanangu Zito hapo nyuma na sema hivyo hivyo kwa rafiki yangu Dr Slaa sasa...wote ni WASALITI wa vuguvugu la uma la kukiondoa chama dola cha CCM madarakani...
Mimi kuanzia wiki iliyopita ni mwana chama wa Chadema...kadi nilinunua Dar es Salaam makao makuu ya Chadema DSM na nilikabidhiwa na mwanangu Benson Kigaila Dodoma , mji mkuu wa Tanania , Jumapili iliyopita wakati wa ufunguzi wa kampeni ya Benson Kigaila ya kuwania Ubunge Doadoma Mjini... Benson Kigaila ni kati ya wajamaa wengi tu ndani ya chama cha kibepari cha mrengo wa kati cha Chadema kilichoanzishwa na matajiri kama mzee Mtei na mwanagu Mbowe ambao, kama Ndg Lowasa , ni wazalendo matajiri wanaochukia umasikini na wangetamani kuwasaidia Watanzania wengi iwezekanavyo kuwa matajiri...
Inanikumbusha Prof Mohamed Babu mwaka 1995 alipotoa kauli mbiu ya let people be rich....Tena Lowasa ndani ya UKAWA si rahisi awe dikteita kama ambavyo angekuwa ndani ya CCM ..walau tutapata muungano wa serikali tatu na tuanzisha mchakato katiba upya ikiwa ni pamoja na kuanzisha mchakato wa katiba za nchi washirika za Tanganyika na Zanzibar....
Mwaka 2010 kuwepo na Friends of Slaa ilikuwa muafaka ...leo tunaitaji FRIENDS OF UKAWA NO more need to be neutral......sasa ni lazima kuunganisha nguvu zote za kisiasa toka vyama vyote pamoja na CCM ..kuunganisha wote wenye kukiri kwa sababu zao mabalimbali kuwa wanajiunga na vuguvugu la wenye kiu ya kuondoa CCM madarakani na kupata ukombozi awamu ya pili chini ya katiba ya wananchi inayo lenga kupunguza madaraka ya Rais wa Muungano na kuwepo Muungano wa serikali tatu...
Dr Slaa, kama ilivyo kuwa kwa wanangu Zito na Prof Mkumbo historia itawahukumu inavyostahiki kwa kukipa chama cha CCM another lease of life beyond its expiry date...
Mwl. Lwaitama