Maoni ya Dr. Lwaitama Kuhusu Hotuba ya Dr. Slaa...

Maoni ya Dr. Lwaitama Kuhusu Hotuba ya Dr. Slaa...

Lowassa ndiyo kila kitu na tumeamua, Jamani tuwaache hawa wafanye mikakati yao ya kihuni sisi tuendelee na kampeni zetu za kisayansi tu.
 
Kiongozi wa kweli wa watu awe wa kisiasa au wa kidini usimama upande wa wanyonge, Dr. Lwaitama ni mmoja wao huyu yupo kwenye harakati hidhi muda mrefu sana si kama hawa wasaliti tuliowapa umaarufu na kuwaheshimu sana kumbe ni chui ndani ya ngozi ya kondoo. Ni kheri tumelifahamu hilo. Mkapotelee mbali wasaliti wote mnaosaliti na mtakaosaliti harakati zetu Dr. Slaa na mwanao Zitto
 
Mwl lwaitama una nguvu gani ya kuhukumu watu wewe?? Slaa hajakosa kufana uamuz huo na hakuna uamuz ambao utakuridhisha kama haujagusia maslahi na matakwa yako.... Rip ukawa
 
Slaa ametumwa kuwaondosha wafuasi wa UKAWA katika ajenda na kulenda sintofahamu ndani ya CHADEMA. Leo ni kuwapotezea CHADEMA na UKAWA muda wa kujipanga na kampeni na uchaguzi
 
masahihisho: lengo ni kuwapotezea muda CHADEMA na UKAWA wasipate kujipanga vema na kampeni na uchaguzi. huyu atakuwa amekuwa 'corrupt' na CCM.
 
I was among of those friends of Dr Slaa the traitor I am now friends of Ukawa ahsante Dr Umesema yote atatukuta mbele ya safari atakapotubu zambi zake
 
Hawa ndio wasomi wenye frustration za maisha.
We are ending the corrupt system mpaka limfumo libomolewe ndio tutajuana sasa hivi endeleeni kucheze makida makida wananchi wanawachora tuu
 
Yaani tajiri amsaidie masikini awe tajiri kama yeye.?

Hakunaga ulimwenguni kote hiyo kitu. Watanzania wachache hawanaga muda wa kutafakari akiwemo huyo mzee. Mzee keshajichokea hajui hata anachozungumza.
 
Bukanga

Dr Gani Hajui Hata Kuvaa Na Hajipendi? Huyo Lwaitama Alichobakiza Tu Ni Kuokota Makopo Kwani Ana Kila Vimelea Vya Mtu Aliyechanganyikiwa. Labda Sasa Amehamia CHADEMA + UKAWA Ataacha Kunywa Gongo Na Kuunguza Ule Mdomo Wake Ambao Muda Wote Lips Zake Ni Nyekundu Tu. Hivi Ni Kwanini CHADEMA + UKAWA Mnapenda Sana Kukumbatia Mizinga Ya Nyuki Namna Hii?

Ukitaka kujua kama Mkapa alikua sahihi hua ni kama wewe hvi, badala ya kujikita na kujibu hoja unaanza kumshambulia mtu!? Mwokota makopo anaweza kuandikia hivyo? basi kumbe nchi hi ina ma genius wengi sana cause kama mwehu ndio huyu na hao wenye akili zao wakoje?
 
Last edited by a moderator:
Ukitaka kujua kama Mkapa alikua sahihi hua ni kama wewe hvi, badala ya kujikita na kujibu hoja unaanza kumshambulia mtu!? Mwokota makopo anaweza kuandikia hivyo? basi kumbe nchi hi ina ma genius wengi sana cause kama mwehu ndio huyu na hao wenye akili zao wakoje?

akikujibu hilo swali basiyeye atakua kinara wa majinias.
ajibu hoja..silaha yao ya mwisho imegonga mwamba.
rip ccm
 
Kwanini wasisaidie hao maskini kwa pesa zao binafsi bila kusubiri kwenda ikulu? kama wao waliweza kuwa matajiri kwanini wengine wasiweze kuupata? hoja dhaifu kabisa kwa mtu anayejiita msomi kuwa na fikra duni kuwa kipimo cha ubora wa maisha ni utajiri! nani amewaambia kuwa watanzania wanataka kuwa matajiri? ina maana watu hao wasipotimiza ndoto zao za urais hawatawasaidia watanzania kuwa matajiri? Lwaitama atuambie, hadi sasa hao matajiri wamewasaidia maskini wangapi kuwa matajiri.
 
Kamaliza msomi huyu

Sio msomi tu, huyu ni mwanafalsafa!
Huu ndio mtazamo wa watanzania wote wanaotamani Tanzania mpya si kwa kungalia matumbo yetu leo hii tu, bali ustawi wa jamii nzima hususan kwa vizazi vya kesho na kesho kutwa.
 
Back
Top Bottom