Maoni ya Dr. Lwaitama Kuhusu Hotuba ya Dr. Slaa...

Maoni ya Dr. Lwaitama Kuhusu Hotuba ya Dr. Slaa...

Yaani tajiri amsaidie masikini awe tajiri kama yeye.?

Unapokuwa na elimu ndogo na uwelewa finyu sio vizuri kutaka kujadili kauli za wasomi utaaibika. Wewe soma tuu halafu jipitie zako kajadili udaku ndio majaliwa yako.
Sio kwamba nakudharau kwa vile ni mbumbumbu, la hasha ila najaribu kukusaidia usizidi kujiaibisha. Najua kitakacho fuata ni kunitusi ili kudhihirisha ulivyo. Karibu.
 
Mimi nimesikitishwa na kuhuzunishwa mno na hotuba ya dr. Slaa jana...kama nilivyosema kuhusu mwanangu Zito hapo nyuma na sema hivyo hivyo kwa rafiki yangu Dr Slaa sasa...wote ni WASALITI wa vuguvugu la uma la kukiondoa chama dola cha CCM madarakani...

Mimi kuanzia wiki iliyopita ni mwana chama wa Chadema...kadi nilinunua Dar es Salaam makao makuu ya Chadema DSM na nilikabidhiwa na mwanangu Benson Kigaila Dodoma , mji mkuu wa Tanania , Jumapili iliyopita wakati wa ufunguzi wa kampeni ya Benson Kigaila ya kuwania Ubunge Doadoma Mjini... Benson Kigaila ni kati ya wajamaa wengi tu ndani ya chama cha kibepari cha mrengo wa kati cha Chadema kilichoanzishwa na matajiri kama mzee Mtei na mwanagu Mbowe ambao, kama Ndg Lowasa , ni wazalendo matajiri wanaochukia umasikini na wangetamani kuwasaidia Watanzania wengi iwezekanavyo kuwa matajiri...

Inanikumbusha Prof Mohamed Babu mwaka 1995 alipotoa kauli mbiu ya let people be rich....Tena Lowasa ndani ya UKAWA si rahisi awe dikteita kama ambavyo angekuwa ndani ya CCM ..walau tutapata muungano wa serikali tatu na tuanzisha mchakato katiba upya ikiwa ni pamoja na kuanzisha mchakato wa katiba za nchi washirika za Tanganyika na Zanzibar....

Mwaka 2010 kuwepo na Friends of Slaa ilikuwa muafaka ...leo tunaitaji FRIENDS OF UKAWA NO more need to be neutral......sasa ni lazima kuunganisha nguvu zote za kisiasa toka vyama vyote pamoja na CCM ..kuunganisha wote wenye kukiri kwa sababu zao mabalimbali kuwa wanajiunga na vuguvugu la wenye kiu ya kuondoa CCM madarakani na kupata ukombozi awamu ya pili chini ya katiba ya wananchi inayo lenga kupunguza madaraka ya Rais wa Muungano na kuwepo Muungano wa serikali tatu...

Dr Slaa, kama ilivyo kuwa kwa wanangu Zito na Prof Mkumbo historia itawahukumu inavyostahiki kwa kukipa chama cha CCM another lease of life beyond its expiry date...
Mwl. Lwaitama

Lowassa nitakupigia kura hata ukiwa mahututi
 
Mimi nimesikitishwa na kuhuzunishwa mno na hotuba ya dr. Slaa jana...kama nilivyosema kuhusu mwanangu Zito hapo nyuma na sema hivyo hivyo kwa rafiki yangu Dr Slaa sasa...wote ni WASALITI wa vuguvugu la uma la kukiondoa chama dola cha CCM madarakani...

Mimi kuanzia wiki iliyopita ni mwana chama wa Chadema...kadi nilinunua Dar es Salaam makao makuu ya Chadema DSM na nilikabidhiwa na mwanangu Benson Kigaila Dodoma , mji mkuu wa Tanania , Jumapili iliyopita wakati wa ufunguzi wa kampeni ya Benson Kigaila ya kuwania Ubunge Doadoma Mjini... Benson Kigaila ni kati ya wajamaa wengi tu ndani ya chama cha kibepari cha mrengo wa kati cha Chadema kilichoanzishwa na matajiri kama mzee Mtei na mwanagu Mbowe ambao, kama Ndg Lowasa , ni wazalendo matajiri wanaochukia umasikini na wangetamani kuwasaidia Watanzania wengi iwezekanavyo kuwa matajiri...

Inanikumbusha Prof Mohamed Babu mwaka 1995 alipotoa kauli mbiu ya let people be rich....Tena Lowasa ndani ya UKAWA si rahisi awe dikteita kama ambavyo angekuwa ndani ya CCM ..walau tutapata muungano wa serikali tatu na tuanzisha mchakato katiba upya ikiwa ni pamoja na kuanzisha mchakato wa katiba za nchi washirika za Tanganyika na Zanzibar....

Mwaka 2010 kuwepo na Friends of Slaa ilikuwa muafaka ...leo tunaitaji FRIENDS OF UKAWA NO more need to be neutral......sasa ni lazima kuunganisha nguvu zote za kisiasa toka vyama vyote pamoja na CCM ..kuunganisha wote wenye kukiri kwa sababu zao mabalimbali kuwa wanajiunga na vuguvugu la wenye kiu ya kuondoa CCM madarakani na kupata ukombozi awamu ya pili chini ya katiba ya wananchi inayo lenga kupunguza madaraka ya Rais wa Muungano na kuwepo Muungano wa serikali tatu...

Dr Slaa, kama ilivyo kuwa kwa wanangu Zito na Prof Mkumbo historia itawahukumu inavyostahiki kwa kukipa chama cha CCM another lease of life beyond its expiry date...
Mwl. Lwaitama

Naam! Here I can feel a sense of intellectual spirit! Asante sana!
 
Unapokuwa na elimu ndogo na uwelewa finyu sio vizuri kutaka kujadili kauli za wasomi utaaibika. Wewe soma tuu halafu jipitie zako kajadili udaku ndio majaliwa yako.
Sio kwamba nakudharau kwa vile ni mbumbumbu, la hasha ila najaribu kukusaidia usizidi kujiaibisha. Najua kitakacho fuata ni kunitusi ili kudhihirisha ulivyo. Karibu.
Nilitegemea ungenielemisha kuhusu hiyo kauli, badala yake na wewe umeshindwa kuonyesha elimu kubwa ulinayo na kunijadili mimi badala ya hoja iliyopo.
 
Dr.Lwaitama ni miongoni mwa Wasomi wachache wa TZ wanaotumia vichwa kuwaza ....well altered Mwl wang
 
Unapokuwa na elimu ndogo na uwelewa finyu sio vizuri kutaka kujadili kauli za wasomi utaaibika. Wewe soma tuu halafu jipitie zako kajadili udaku ndio majaliwa yako.
Sio kwamba nakudharau kwa vile ni mbumbumbu, la hasha ila najaribu kukusaidia usizidi kujiaibisha. Najua kitakacho fuata ni kunitusi ili kudhihirisha ulivyo. Karibu.

Mbumbumbu hajaelewa kuwa katika maelezo hayo na suala la katiba mpya limeongelewa.Poor mbumbumbu mjukuu wa Dokta Mihogo
 
"another lease of life beyond its expiry date...". Wala Dr asiwe na wasiwasi, huu ndo mwisho wa CCM.
 
Sikubahatika kufundishwa na Dr.Lwaitama nilipokuwa UDSM lakini mada za msomi huyu na machapisho yake yamekuwa na mchango mkubwa sana kwangu. Hongera Dr. Lwaitama kwa kuutendea haki usomi wako.
 
Kikwete kila uchwao yupo nchi tajiri kuomba misaada, mbn sijamuona walahu siku moja akaenda nchi maskini km anayoiongoza kujadiliana na kupeana misada?
 
Naunga mkono hoja.Toka lini tajiri akawa na urafiki na maskini? Ni kama paka kuvaa tasbihi/rozali ya dagaa.
huu ujumbe umfikie jk na magufuli maana wawili hao wanaamini bila misaada ya nchi tajiri hatuwezi kujenga barabara zetu.
 
Siamini Dr Lwaitama anaweza kukimbia hoja kwa kutoa maelezo mepesi yasiyojibu hoja hata moja ya Dr Slaa. Nitaendelea kumheshimu mpaka atakapothibitisha yeye mwenyewe kama kweli ameamua kuzikwepa hoja za Dr Slaa kwa kutoa maelezo mepesi kiasi hicho.[/QUOTE

Dr Slaa hakuwa na hoja yoyote.

Alikuwa na propaganda za ccm. Ni kipi alichoongea ambacho ccm hawajaongea kuhusu Lowasa? Ricimond is not any issue now.
Kama dr. Slaa kweli ni mkweli, Haoni mafisadi waliobaki humo ccm kuwa ni wengi kuliko anvyofikiria. Katika ile list yake List of shame walikuwa wengi akiwemo Kikwete. Kinachomtia Slaa upofu asiwaone hao sasa na kuwashambulia ni kitu gani? Je wamekuwa safi baada ya Lowasa kutoka?

Eti anasema hana bei ya kununuliwa!!!!!! mpuuzi!!! Tena kanunuliwa kwa bei ndogo sana na hao anaowapigia debe. Asifikiri watanzania ni wajinga. Tunajua kanunuliwa kirahisi sana na anfanyia kazi ccm kama juha bila kujijua. Aseme wamampa shilingi ngapi kupitia mkewe? Mkutanao wa serena nani kaulipia? Gharama za vyombo vya habari nani kalipa?

Je, ni nani alimwambia Slaa kuwa yeye ni mwenye akili kuliko wote ndani ya Chadema na ukawa kwa iyo kila mmoja asikilize hoja zake na kuzikubali? Ubinafsi mkubwa huo Kuliko ule wa zito. Msaliti kama zito. Hana maono huyu. Asingeweza kuwa Raisi. Ni afadhali hili limetokea, watanzania tungejuta kumpata yeye kama raisi. Hatuhitaji mtu anaye dhani kuwa mawazo yake yeye ndiyo ya kweli tuuu.
Aidha anatumiwa huku akijua hivyo au ni mjinga anatumiwa bila kujua anatumiwa naCCM. Atakapojua hili atakuwa amechelewa sana.
Dr Lwaitama yuko sahihi kabisa kumwita msaliti. Hakuna hoja ya kumjibu Dr. Slaa, kwani aliongea agenda moja ya richmond ambayo imesha jibiwa sana. Kama yeye ni msafi kama anavyojiita, akawashughulikie wezi na mafisadi papa aliowaacha ndani ya ccm kama Kinana na wenzake ambao anajifanya sasa hawaoni. Hii ni chuki binafsi kwa Lowasa, na Ni maumivu ya kukosa nafasi ya Urais aliyokuwa anaitaka sana.

Asante Dr.Lwaitama.
 
Mimi nimesikitishwa na kuhuzunishwa mno na hotuba ya dr. Slaa jana...kama nilivyosema kuhusu mwanangu Zito hapo nyuma na sema hivyo hivyo kwa rafiki yangu Dr Slaa sasa...wote ni WASALITI wa vuguvugu la uma la kukiondoa chama dola cha CCM madarakani...

Mimi kuanzia wiki iliyopita ni mwana chama wa Chadema...kadi nilinunua Dar es Salaam makao makuu ya Chadema DSM na nilikabidhiwa na mwanangu Benson Kigaila Dodoma , mji mkuu wa Tanania , Jumapili iliyopita wakati wa ufunguzi wa kampeni ya Benson Kigaila ya kuwania Ubunge Doadoma Mjini... Benson Kigaila ni kati ya wajamaa wengi tu ndani ya chama cha kibepari cha mrengo wa kati cha Chadema kilichoanzishwa na matajiri kama mzee Mtei na mwanagu Mbowe ambao, kama Ndg Lowasa , ni wazalendo matajiri wanaochukia umasikini na wangetamani kuwasaidia Watanzania wengi iwezekanavyo kuwa matajiri...

Inanikumbusha Prof Mohamed Babu mwaka 1995 alipotoa kauli mbiu ya let people be rich....Tena Lowasa ndani ya UKAWA si rahisi awe dikteita kama ambavyo angekuwa ndani ya CCM ..walau tutapata muungano wa serikali tatu na tuanzisha mchakato katiba upya ikiwa ni pamoja na kuanzisha mchakato wa katiba za nchi washirika za Tanganyika na Zanzibar....

Mwaka 2010 kuwepo na Friends of Slaa ilikuwa muafaka ...leo tunaitaji FRIENDS OF UKAWA NO more need to be neutral......sasa ni lazima kuunganisha nguvu zote za kisiasa toka vyama vyote pamoja na CCM ..kuunganisha wote wenye kukiri kwa sababu zao mabalimbali kuwa wanajiunga na vuguvugu la wenye kiu ya kuondoa CCM madarakani na kupata ukombozi awamu ya pili chini ya katiba ya wananchi inayo lenga kupunguza madaraka ya Rais wa Muungano na kuwepo Muungano wa serikali tatu...

Dr Slaa, kama ilivyo kuwa kwa wanangu Zito na Prof Mkumbo historia itawahukumu inavyostahiki kwa kukipa chama cha CCM another lease of life beyond its expiry date...
Mwl. Lwaitama

Jaman mi ni mgeni kwenye JF. Nafurahishwa sana jinsi watu wanavyochambua hoja zinazoletwa humu ndani....lakini naombeni msaada wenu wa kunijuza '''Lowassa ni nani hasa mpaka kila mtu aangaike asiapate urais...sauti ya wengi na sauti ya Mungu. Kwa mtizamo wangu ndo silaha pekee ya mabadiliko tuliyo nayo.
1. Tayari hayupo tena CCM. Unajua ufisadi navyoona mimi sio mtu binafsi ni mfumo. CCM wanahaha manake wanajua akipita ni matatizo kwa mafisadi papa yalobaki huko.
2. Kwa nini Richmond this time, kwa kweli Lowasa angetajwa tena kwenye hii ya ESCROW hata mimi ngekuwa na wasiwasi nae....sema alishajifunza kutokana na kosa anataka sasa kuhakikisha watanzania wanapiga hatua magamba ndo yanastuka bado yanaitaji kula....ndo mana hata hawakumpisha kule akiwa anajua sasa anaitaji kuwaonyesha wananchi ye ni msafi.....
 
MUNGU yupo PAMOJA NASI WATANZANIA KUJIKOMBOA TUJITIE MOYO TUTAFIKA
 
Back
Top Bottom