Last emperor
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 10,346
- 9,889
Asante Great Thinker Dr Lwaitama
Yaani tajiri amsaidie masikini awe tajiri kama yeye.?
Kamaliza msomi huyu
Lwaitama hana tofauti na kichaa hata ukimwangalia tu hana hadhi ya kuitwa Dr.
Wimbo guy hajamaliza kuimbwa na Twanga Peters isipokuwa TOTWimbo waTwanga Pepeta uliogusa roho za wengi tuukumbuke wakati tunapoamua kumchagua kiongozi wa Taifa hili 25/10, nao ni "Mtaji wa maskini ni nguvu zake mwenyewe". Sikumbuki bendi iliyojibu wimbo huu kwa wimbo mwingine uliobeba ujumbe huu "mtaji wa tajiri ni nguvu za maskini". Ukijumuisha zote mbili TAJIRI HAWEZI KUWA RAFIKI WA MASKINI.
heshima kitu cha bure.Mimi nakwambia huyu lwaitama ni sawa na kichaa.najuta kufundishwa na mwl.mpuuzi kama huyu
Yaani tajiri amsaidie masikini awe tajiri kama yeye.?
heshima kitu cha bure.
Yaani tajiri amsaidie masikini awe tajiri kama yeye.?
Lwaitama hana tofauti na kichaa hata ukimwangalia tu hana hadhi ya kuitwa Dr.
Yaani tajiri amsaidie masikini awe tajiri kama yeye.?