Sometimes: ukisema hivyo unakosea,,Ukiangalia tuu kwa haraka haraka,hao matajiri mnaosema awatoweza kumsaidia maskini,Ndio watu wanaomiliki viwanda,na ni wafanyabiashara wakubwa sana duniani,,Mfano mdogo tuu .Mtu tajiri atakuwa na kiwanda cha saruji.,katika kile kiwanda watajiriwa watu.katika nyadhifa tofauti tofauti.,hata vibarua pia..Hapo katika watu waliowaajiriwa zitakuja jitihada binafsi za kila mmoja wao,kuna watakaofanya kazi na wakipata mshahara na kuwekeza katika biashara..,kilimo.nk.je hao wafanyakazi wakifanikiwa.na wao mbeleni kuwa matajiri baada ya kuajiriwa na tajiri wakatumia jitihada zao pia .wakafika hapo walipo.Mimi nafikiri tunaweza kusema Tajiri nafasi yake kubwa sana ya kumsaidia maskini afanikiwe kimaisha kuliko Maskini kumsaidia maskini mwenzake. Maskini kwa maskini yataishia majungu tuu ,yaa kuanza kugombania hata chakula,,Ni vizuri sana kwa Nchi kama za kwetu likaangalia hilo..najua wengi maskini wanatumia gear hiyo ya Kutaka mtu wa kipato cha chini hili walete Ujamaa na kiushikaji kupeana madaraka,