Haha ebu nicheke kwanza. Elim ni mali.
Ukweli ni kwamba, mwanamke wa kiyaudi halikuwa harusiwi kuolewa na muarabu.
Myaudi alikua katairiwa, muarabu halikua hajatairia.
Myaudi alikua na kitabu cha dini injiri, muarabu hakua nacho.
Myaudi alikua anatendea wanawake zao vyema kwa upendo, muarabu alikua anatendea wanawake zao kama wanyama.
Sheria ya dini ya kiyaudi ktk injiri ilizuia mwanamke wa kiyaudi kuolewa na muarabu, sababu muarabu anatendea mwanamke na watoto kama wanyama, hasie jua haki za binadam.
Ila myaudi aliweza kuokota muarabu na kumfanya mke. Myaudi alikua tajiri na muarabu ni masikini.
Hivo myaudi akaanza kukashf wanaume wa kiaarabu, kwa unyanyasaji na ukafiri wa kuchinja watoto wa kike.
Mohamedi aliona hilo, sababu hata mkewe bi Hadija aliolewa mara nyingi sana na kutelekezwa.
Na yeye mwenyewe alikua mtoto yatima, akapigania haki za wanawake wa kiarabu na watoto yatima.
Wayaudi ambao ni wakristo walikuwemo kumsaidia mohamedi kupiga vita imani potofu za waarabu.
Mohamedi alikopy injiri kwa mdomo. Yaani alitumia injiri ya wakristo ili waarabu wabadilike.
Lakini baadae mohamedi aliwageukia wayaudi, na kuwatimua.
Na hadi leo hii mwanamke wa kiarabu thamani hana kwa mwanamme wa kiarabu.
Hivo akiolewa na mume kabila ingine au dini ingine anathaminika.
Tamaduni ya kiafrika inathamini mwanamke, hivo hamna mwanamke wa kiafrika atakubali afanywe kama myama, hasie na akili. Na mukitafsiri tu kurani na dini ya kiislam kwa watanzania, mutaswali peke yenu waarabu.