Otorong'ong'o
JF-Expert Member
- Aug 17, 2011
- 38,900
- 28,015
Katika uislam hakuna ndoa ya muislam na asiyekuwa wa dini hiyo. Kama ni lazima aolewe ni sharti akubali tena kwa hiari yake kuwa muislam ndipo ndoa ifungwe. Tusichanganye kati ya watu wenye majina ya kiislamu who knows nothing about the morals and values of the religion, and the true muslims. Kuzaa na mkristu haimaanishi kuwa ni mkeo, huyo ni mzinzi mwenzio na huyo mtoto katika dini hatambuliki.
HUU NDIO UKWELI
Mbona Mzee Makamba kamuo Mkristo na kila mtu yupo na dini yake ile ile na mzee Makamba ni muumini mzuri tuu...