MAONI:. Ndoa ,,, Waislam vs Wakristo

MAONI:. Ndoa ,,, Waislam vs Wakristo

Status
Not open for further replies.
Katika uislam hakuna ndoa ya muislam na asiyekuwa wa dini hiyo. Kama ni lazima aolewe ni sharti akubali tena kwa hiari yake kuwa muislam ndipo ndoa ifungwe. Tusichanganye kati ya watu wenye majina ya kiislamu who knows nothing about the morals and values of the religion, and the true muslims. Kuzaa na mkristu haimaanishi kuwa ni mkeo, huyo ni mzinzi mwenzio na huyo mtoto katika dini hatambuliki.
HUU NDIO UKWELI

Mbona Mzee Makamba kamuo Mkristo na kila mtu yupo na dini yake ile ile na mzee Makamba ni muumini mzuri tuu...
 
Katika uislam hakuna ndoa ya muislam na asiyekuwa wa dini hiyo. Kama ni lazima aolewe ni sharti akubali tena kwa hiari yake kuwa muislam ndipo ndoa ifungwe. Tusichanganye kati ya watu wenye majina ya kiislamu who knows nothing about the morals and values of the religion, and the true muslims. Kuzaa na mkristu haimaanishi kuwa ni mkeo, huyo ni mzinzi mwenzio na huyo mtoto katika dini hatambuliki.
HUU NDIO UKWELI

True waislamu wanaume wameruhusiwa kuowa Ahlul-kitabu ikiwa imeshindikana kumpata muislamu aliye msafi . Lakini siku hizi kuna khofu kwamba wale wanaooa huenda wakakutana na uovu zaidi. Wanaweza kuwaita katika dini yao na wanaweza kuwalea watoto wao katika Ukristo. Kwa hiyo hatari ipo hakika na ni kubwa. Ili kuwa katika amani, Muumini ni bora asiwaoe.
 
Mbona Mzee Makamba kamuo Mkristo na kila mtu yupo na dini yake ile ile na mzee Makamba ni muumini mzuri tuu...

..... haya sasa, ..............
 
Mbona Mzee Makamba kamuo Mkristo na kila mtu yupo na dini yake ile ile na mzee Makamba ni muumini mzuri tuu...

apo linakuja suala la uislam jina na uislam matendo!++
je unaamini kuwa wapo mapadri wenye watoto(wanafiki na dini yao)na pia wapo mapadri wanafuata misingi kanuni na sheria zote za kiimani.!?+
naimani umenielewa ninaposema uislam jina na wa ukweli.!
 
Naomba kufahamu , ni kwanini Waislam hawako tayari dada/mabinti zao kuolewa na Wkristo wakati wao wanaoa dada zetu(WAKRISTO) ,,

Taqfadhali maoni.

NO OFFENCE PLEASE.

Kwa sababu mke ni rahisi kufata dini ya mumewe na Uislaam umekuja kukukomboa kutoka katika kuabudu masanamu na binaadam wenzio na kujisalimisha kwa Mwenyeezi Mungu mmoja ambae hakuzaa wala hakuzaliwa, hakuna anaye fanana naye hata mmoja.
 
...ninachofahamu kwa uelewa wangu mdogo, ndoa hizo mara nyingi hufungwa baada ya vita kubwa sana ktk familia na baada ya hapo watoto mara nyingi wanakosa msimamo wa dini ipi kuifuata kunakuwa na mchanganyiko wa imani, wakienda kwa shangazi avutia kwa uislamu, wakienda kwa mamdogo ukristo...nina rafiki ambaye baba ni muislamu na mama mkristo, mwezi mtukufu wanafunga lkn kipindi kingine chote cha mwaka wanakuwa wanakwenda kanisani na mama... mh, sielewi kwa kweli, labda wenye experience zaidi watujuze
Hao uliyowataja wanastahili HONGERA maana wanakubalika na shangazi na mamdogo (maelewano kwanza)
AFU VIPI WAKOSE MSIMAMO wa dini ? na Mwenyezi mungu ni mmoja ? na Msikiti/kanisa ni nyumba yake? na baada ya zoezi la mfungo wa mwezi ramadhani ni hujenga imani imara. hapo naona kuwa Mashabiki na waingiliaji ndo waharibifu wa imani za watoto. Mifano ya kuwa na parents wa imani tofauti upo LEBANON,IRAQ,TURKEY,INDONESIA,TZ,MISRI,Nk....
yote hayo, Mbora wao ni Raia mwema.
 
Kwa sababu mke ni rahisi kufata dini ya mumewe na Uislaam umekuja kukukomboa kutoka katika kuabudu masanamu na binaadam wenzio na kujisalimisha kwa Mwenyeezi Mungu mmoja ambae hakuzaa wala hakuzaliwa, hakuna anaye fanana naye hata mmoja.

Red''''= nilisha kombolewa zamani na Mungu ninaye muamini mimi ndio huyo wewe wamuamini, hivyo uislamu si ukombozi.

Blue'''=umeandika kashfa na ni kejeli... so unaharib mfungo wako,,, or else ni Muislam jina....
 
nimewahi kumtongoza binti wa kiislam/mpemba kwa lugha ya ndoa akagoma kwa madai kuwa kiimani hakuna ndoa kati ya dini tofauti. Nilimuelewa kwa sababu hata ktk ukristo ndoa kt ya dhehebu kwa dhehebu inaleta shida hasa ukitaka ibada ya ndoa.
 
Red''''= nilisha kombolewa zamani na Mungu ninaye muamini mimi ndio huyo wewe wamuamini, hivyo uislamu si ukombozi.

Blue'''=umeandika kashfa na ni kejeli... so unaharib mfungo wako,,, or else ni Muislam jina....

Uislamu umekuja kuwatoa watu katika ujinga ndo maana waislamu wanajitolea kwa hali na mali kuelimisha watu katika njia iliyonyooka. Hapa tunazungumzia waumini sio muislamu Jina. "Allah hakuzaa wala hakuzaliwa wala hana aliyefanana nae" Apo ni ukweli mtupu ndugu yangu
 
Red''''= nilisha kombolewa zamani na Mungu ninaye muamini mimi ndio huyo wewe wamuamini, hivyo uislamu si ukombozi.

Blue'''=umeandika kashfa na ni kejeli... so unaharib mfungo wako,,, or else ni Muislam jina....

Wewe na dini yako nami na dini yangu. Hasira za nini?
 
nimewahi kumtongoza binti wa kiislam/mpemba kwa lugha ya ndoa akagoma kwa madai kuwa kiimani hakuna ndoa kati ya dini tofauti. Nilimuelewa kwa sababu hata ktk ukristo ndoa kt ya dhehebu kwa dhehebu inaleta shida hasa ukitaka ibada ya ndoa.

Yes, she was right
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom