aiseeeee!!!!
MadameX, mbona huwa hutoi maoni mara nyingi huwa unaacha mambo yana-hang. Speak tusikie maoni yako!
...ninachofahamu kwa uelewa wangu mdogo, ndoa hizo mara nyingi hufungwa baada ya vita kubwa sana ktk familia na baada ya hapo watoto mara nyingi wanakosa msimamo wa dini ipi kuifuata kunakuwa na mchanganyiko wa imani, wakienda kwa shangazi avutia kwa uislamu, wakienda kwa mamdogo ukristo...nina rafiki ambaye baba ni muislamu na mama mkristo, mwezi mtukufu wanafunga lkn kipindi kingine chote cha mwaka wanakuwa wanakwenda kanisani na mama... mh, sielewi kwa kweli, labda wenye experience zaidi watujuze
Mkuu naona kama hukunitendea haki, sikutaka kusema maoni yangu kwasababu imekaa kidini zaidi tena upande mmoja na nishaona mwisho wake. Kuna watu wamejieleza vizuri tu lakini naona tutarudia pale pale, aisee nimefunga sitaki kuharibu siku yangu leo.
huoni kama hapo utakua umepingana na sheria ya ndoa na haki ya watoto kwa mama na mama kwa watoto.. mwanamke pia ana haki ya watoto. Je! huo si ukandamizaji?
Mkuu naona kama hukunitendea haki, sikutaka kusema maoni yangu kwasababu imekaa kidini zaidi tena upande mmoja na nishaona mwisho wake. Kuna watu wamejieleza vizuri tu lakini naona tutarudia pale pale, aisee nimefunga sitaki kuharibu siku yangu leo.
sikatai mawazo yako ...ila wajua kwamba waislam ni wengi wanaooa dada zetu kuliko wakristo.... na kwa taarifa tu ,they feel proud kuoa wakristo na wanasisitiza hilo...
No Offence please
with alll due respect ... naomba nifafanulie vizuri hapo red. ,, tufaham ukweli
Naomba kufahamu , ni kwanini Waislam hawako tayari dada/mabinti zao kuolewa na Wkristo wakati wao wanaoa dada zetu(WAKRISTO) ,,
Taqfadhali maoni.
NO OFFENCE PLEASE.
Ongeeni yote, lakini mie siko radhi kuingia dini yoyote kwa sababu ya kipochi-manyoya,not worth that much/
bidodo tusaidie jibu hili swali...