blogger
JF-Expert Member
- Mar 13, 2012
- 13,414
- 16,787
- Thread starter
- #61
nimewahi kumtongoza binti wa kiislam/mpemba kwa lugha ya ndoa akagoma kwa madai kuwa kiimani hakuna ndoa kati ya dini tofauti. Nilimuelewa kwa sababu hata ktk ukristo ndoa kt ya dhehebu kwa dhehebu inaleta shida hasa ukitaka ibada ya ndoa.
huyo alikua ni binti na ni lazima akujibu hivyo kwani Binti wa kiislamu haruhusiwi na dini olewa na mkristo ...ila mwanaume ni sahihi funga muoa binti wa kikristo....
Mwanamke wa ki Islam kabanwa hapo hata kama kapenda vp.. upo
Cc bidodo
Last edited by a moderator: