Uislamu umekuja kuwatoa watu katika ujinga ndo maana waislamu wanajitolea kwa hali na mali kuelimisha watu katika njia iliyonyooka. Hapa tunazungumzia waumini sio muislamu Jina. "Allah hakuzaa wala hakuzaliwa wala hana aliyefanana nae" Apo ni ukweli mtupu ndugu yangu
Naomba kufahamu , ni kwanini Waislam hawako tayari dada/mabinti zao kuolewa na Wkristo wakati wao wanaoa dada zetu(WAKRISTO) ,,
Taqfadhali maoni.
NO OFFENCE PLEASE.
In short WAISLAM wana MSIMAMO ktk dini yao kuliko WAKRISTO,ndio maana hata makanisa ya kisasa yameweza chota waumini wengi toka makanisa makuu ya katoliki na lutheran
Hii mada imepamba moto. Mimi leo nitakua msomaji tu
Umeona eee. Tuendelee kuangalia/kusoma mwayaKm Mimi. Maanaa........
In short WAISLAM wana MSIMAMO ktk dini yao kuliko WAKRISTO,ndio maana hata makanisa ya kisasa yameweza chota waumini wengi toka makanisa makuu ya katoliki na lutheran
Kwa sababu mke ni rahisi kufata dini ya mumewe na Uislaam umekuja kukukomboa kutoka katika kuabudu masanamu na binaadam wenzio na kujisalimisha kwa Mwenyeezi Mungu mmoja ambae hakuzaa wala hakuzaliwa, hakuna anaye fanana naye hata mmoja.
Naomba kufahamu , ni kwanini Waislam hawako tayari dada/mabinti zao kuolewa na Wkristo wakati wao wanaoa dada zetu(WAKRISTO) ,,
Taqfadhali maoni.
NO OFFENCE PLEASE.
Uislamu umekuja kuwatoa watu katika ujinga ndo maana waislamu wanajitolea kwa hali na mali kuelimisha watu katika njia iliyonyooka. Hapa tunazungumzia waumini sio muislamu Jina. "Allah hakuzaa wala hakuzaliwa wala hana aliyefanana nae" Apo ni ukweli mtupu ndugu yangu
Taz, Quran 17:85 Na wanakuuliza habari za roho. Sema: "Roho ni jambo lililohusika na Mola wangu (Mwenyezi Mungu). Nanyi hamkupewa katika ilimu(ujuzi) ila kidogo kabisa. (Navyo ni vitu visivyo husika katika roho)"
Mungu kuwa na mtoto ni ambo ya kiroho sio kimwili..kitabu chako kinasema hamjapewa habari za roho.....! Huna uewezo wa kulijua jambo hilo!
Haha ebu nicheke kwanza. Elim ni mali.
Ukweli ni kwamba, mwanamke wa kiyaudi halikuwa harusiwi kuolewa na muarabu.
Myaudi alikua katairiwa, muarabu halikua hajatairia.
Myaudi alikua na kitabu cha dini injiri, muarabu hakua nacho.
Myaudi alikua anatendea wanawake zao vyema kwa upendo, muarabu alikua anatendea wanawake zao kama wanyama.
Sheria ya dini ya kiyaudi ktk injiri ilizuia mwanamke wa kiyaudi kuolewa na muarabu, sababu muarabu anatendea mwanamke na watoto kama wanyama, hasie jua haki za binadam.
Ila myaudi aliweza kuokota muarabu na kumfanya mke. Myaudi alikua tajiri na muarabu ni masikini.
Hivo myaudi akaanza kukashf wanaume wa kiaarabu, kwa unyanyasaji na ukafiri wa kuchinja watoto wa kike.
Mohamedi aliona hilo, sababu hata mkewe bi Hadija aliolewa mara nyingi sana na kutelekezwa.
Na yeye mwenyewe alikua mtoto yatima, akapigania haki za wanawake wa kiarabu na watoto yatima.
Wayaudi ambao ni wakristo walikuwemo kumsaidia mohamedi kupiga vita imani potofu za waarabu.
Mohamedi alikopy injiri kwa mdomo. Yaani alitumia injiri ya wakristo ili waarabu wabadilike.
Lakini baadae mohamedi aliwageukia wayaudi, na kuwatimua.
Na hadi leo hii mwanamke wa kiarabu thamani hana kwa mwanamme wa kiarabu.
Hivo akiolewa na mume kabila ingine au dini ingine anathaminika.
Tamaduni ya kiafrika inathamini mwanamke, hivo hamna mwanamke wa kiafrika atakubali afanywe kama myama, hasie na akili. Na mukitafsiri tu kurani na dini ya kiislam kwa watanzania, mutaswali peke yenu waarabu.
Allah ni Mungu wa waislam sisi na Jehova ni Mungu Mkuu sasa hawa ni sawa au tofauti?
Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums