Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 16,987
- 20,271
- Thread starter
- #61
Umepata wapi data zako?
Katika nchi tajwa, ila kwa Tanzania ndio nakusanya data kwako na kwa wengine!
Vipi ungependa au unahudumu sekta gani katika jamuhuri hii?
Umepata wapi data zako?
Dah! Napenda nije niwe mtafiti katika technology hasa machine ambayo itatumia fuel(energy) kidogo lakini ufanisi(efficiency) wake uwe mkubwa. Dah! Ila mtu ukifeli kitu kinachoitwa mtihani wa Taifa ndo basi tena.
Mi ni mwajiriwa wa kampuni kubwa ya simu ila napenda kuajiriwa Serikalini nipate kulitumikia Taifa lanu pia
Katika nchi tajwa, ila kwa Tanzania ndio nakusanya data kwako na kwa wengine!
Vipi ungependa au unahudumu sekta gani katika jamuhuri hii?
Una maana umekusanya mwenyewe, kama ndio unaweza kuweka methodologies?
Kama siyo source yako ni wapi?
mimi ningependa niwe fisadi
Hahaa tutakunyonga mkuu, katiba tunairekebisha iili tuanze kuwanyonga mafisa!
Yaweza kuwa ni kazi ya lawama au haina masilahi
Mkuu wewe sema unapenda au unahudumu katika sekta ipi Tanzana?
Uking'ang'ania chanzo hatutafanikiwa kufikia malengo ya kutambua mwelekeo wa vijana wa tanzania kwa uhudumu wa Taifa lao!
hiyo ndio siri ya mafanikio kwa mtanzania na sio kufanya kazi kwa bidii walio fanya kazi kwa bidii na uadilfu wamekufa masikini nakuziacha famila ao zikteseka.
Ndoto zangu zitatimia endapo,nitapata upenyo wa kulitumikia taifa kupitia TISS,nitahakikisha naibua mafisadi wote waliolifikisha hli taifa hapa lilipo na kuhakikisha wanashtakiwa mahakamani.
Mimi napenda kuwa mwanasiasa hasa hasa kutoa elimu ya uraia vijijini.
Lakini si ndivyo ilivyo kwa tiss na jw? Je si wakati vijana watamani kuingia ila kubadili status quo?
Kama nitatoa jibu inabidi kwanza nijue jibu linatumikaje. Hata kwenye research kuna hivi vitu. Sio nikupe jibu hapa halafu uende kulitumia against my own interest.
So far you have not established kwamba hizo data zako huja zi plug out of thin air.
Which compromises your integrity kwa watu wanaofikiri na kufanya hii thread kuwa some highfalluting futile infatuation.
Hahaaahaa mkuu wewe mtata sana, haahaa daaah nabaki kucheka tu!