Nokla
JF-Expert Member
- Aug 12, 2012
- 3,168
- 1,709
Ni vema na hongera sana, tumika kama ilivyokusudiwa ulitumikie Taifa
Asante mkuu, natumikia taifa kwa Uadilifu na Weledi!
Ni vema na hongera sana, tumika kama ilivyokusudiwa ulitumikie Taifa
Safi sana, eleza nini kinakwama kutimiza lengo kwakuwa hapa wadau wengi waona, wanaweza kukusaidia kutimiza malengo yako!
Habari njema sana, taifa linahitaji watu mia hivi wa aina yako mkuu! Kazi nzuriAsante mkuu, natumikia taifa kwa Uadilifu na Weledi!
kwetu watu wameathirika sana na ukimwi, kila siku wanakufa wanawacha watoto yatima hii hali inanisikitisha sana kuona wanavyoishi,. Ningependa kwanza kuwapa msaada majumbani mwao baadae nijenge kituo kwa jili ya kuwalea na kuwapa huduma zaidi
Mm napenda kufanya kazi ktk JWTZ hila kisayansi zaidi kwamba kuhusishwa na tafiti mbalimbali za kiusalama kwenye mambo ya usalama na pia kuwa mkufunzi wa vyuo vikuu lakini nikitokea jeshini. Nawakilisha
Safi sana, na hii ajira mpya serikali inatakiwa kutilia mkazo!
Mimi kazi ninayoipenda kuifanya ni kuitoa ccm madarakani by any means necessary and at any cost..!!
Na nishaianza tayari kazi hiyo,,haiwezekani sisi tuvuje jasho,tuingizie pato nchi hii kwa kodi zetu halafu then kina nnauye wahonge madem vitara tuh,,imetosha imetosha.,,
nadhan sijatoka nje ya mada yako mkuu,,
i am ccm killer..
huuu MINAPENDA NICHIMBE CHIMBE ARIDHINI NA NICHIMBE MAWINGU NA NIWE NAWAKABA MARAIKA WA MUNGU labda Mwenzi Mungu ataniona na kuleta hekima na busara kwa Taifazima Tanzania kwani kwa hapa kwetu kila ukifanyacho hata ukibuni wanao nufaika nahayo misha ni Jamii fulani 2ambao wao hawatoki jasho na hawachukui Mikopo wao Hupewa tu kilakilIchokua Chema utaambiwa chafulani ndio maana watu wanataka TRA.BANK nk
Mimi nitapenda kufanya kazi Usalama wa Taifa, ama Habari Leo. Yericko Nyerere, hizi kazi zipo kweli ama unatupiga maswali tu?
daaah asante sana nimefurahi sana kuna ajira hii, kichwani mwangu wakati naandika uzi huu wala sikuwa na wazo hili!
Hongera sana mkuu
mi kazi ninayoipenda ni kuloga watu ili waumwe, kula nyama za wafu, kunywa damu za watu, kuruka na ungo, na mambo mengine kama hayo yanayohusiana na uchawi, nitafurah kama nitawezeshwa kufanikisha malengo yangu.
thanks,thanks
kama unataka kujiunga milango iko wazi tuh