Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 16,987
- 20,271
- Thread starter
- #81
Usicheke,
Serious accusations deserve a serious redress.
This thread did not need fictitious numbers to be meaningful. By plugging numbers from thin air - you haven't addressed this so far, so the silence is taken as accepting this as the truth- you tarnished any meaning in it and demonstrated that you are capable of lying out of habit, that is, when the lies are totally unnecessary.
Hivi ungeweka thread ya kuuliza watu tu bila hizo data fictitious hii thread ingepoteza umuhimu wake?
Au mpaka uji pomp kama some researcher na wewe?
Mkuu data hizo hapo juu ni za kitafiti tena zimepitia viwango vya hali ya juu,
Shirika la utafiti wa uzalendo kwa vijana la Marekani likishirikiana na mashirika ya kufanana nalo yaliyoko China, Uingereza, Urusi nk yamefanya tafiti hizo, na sasa sisi kama watanzania tulio jf nimenelea vema tujtathimi wenyewe tusisubiri mbeleko za mashirika hayo ya kimataifa!
Ni ukweli uliowazi kuwa uzalendo nchini umepungua kwa jicho la haraka lakini hatuwezi kusema tu ni lazima tujitathimini wenyewe!
Karibu mkuu unga mkono zoezi hili, wadau wa serikalini watafikishiwa maoni yetu!