Chief Kabikula
JF-Expert Member
- Jan 1, 2019
- 7,567
- 9,026
Huo ndio ukweli mchungu kweli kwa chama cha kijani kibichi.
Jiulize wasanii 200 ni wa nini?Utafiti wako huu kuwa Watu wameichoka CCM uliufanya wapi na lini Mkuu? Na je, hao hao Watu wako wamekuhakikishia wanawapenda Upinzani?
Na hili ndilo nilililiona , yaani 2020 UPINZANI ukipata kura milioni 2 ukatambikeMbona umeongea kinyume..?
CCM imechokwa had na wasio na mapenzi na siasaCcm tumeichoka kiukweli ila mabeberu watusaidie, tuiondoe ccm.
Hata Kama kukiwa na tume huru hamuwezi.Tatizo huwa hatuna Tume huru ya uchaguzi. CCM ilishajifia zamani, hapa tatizo letu ni tume tu. Vitendo alivyofanya Jiwe kama vile watanzania wenzetu kutekwa, kuuawa, kupotezwa, maiti lukuki kuokotwa kwenye fukwe na mengineyo mengi were the last nail in the coffin.
Wanaogopa ccm kuondolewa madalakini ni wapiga dili.Inawezekena ccm isiwe bora kwa kiwango fulani lakini ni mara elfu moja ccm ikaendelea kutawala hii nchi miaka mingi ijayo maana wanajua kujireform kuliko kuwapa nchi wapinzani ambao muda wote wanahubiri chuki na kukosoa maendeleo yaliyofanyika nchini bila wao kusema wakipewa nchi watafanya nini.
Wapinzani wa nchi hii wamekuwa ni watu walama na visingizio kila wakati. Uchaguzi mkuu wa mwaka 2015 walishinda wabunge na madiwani wengi lakini hakuna cha ajabu walichowafinyia wananchi kwenye majimbo ya tofauti na wabunge na madiwani wa ccm badala yake wamejikita kulaumu na kusingizia.