Maonesho na mnada wa ng'ombe yanaanza leo Ubena Zomozi

JS Dairy Farm

JF-Expert Member
Feb 13, 2022
305
679
Maonesho na mnada wa ng'ombe yananza leo Julai 15, 2022 na yataisha Julai 17, 2022.

Yanafanyikia Ubena Zomozi, kilometa chache kutoka Chalinze kama unaelekea Morogoro kwenye viwanja vya Highland estates ambavyo vipo pembeni ya barabara ya Morogoro, upande wa kulia Kama unaenda Morogoro.

Wote mnakaribishwa,mtapata fursa ya kujifunza masuala mbalimbali kuhusu ufugaji bora wa ng'ombe wa nyama na aina mbalimbali za ng'ombe wa nyama.

Pia utapata fursa ya kukutana na wafugaji waliofanikiwa, mabenk, taasisi mbalimbali zinazoshughulika na ufugaji wa ng'ombe wa nyama nk.

Kwa taarifa zaidi tembelea kurasa za mitandao ya kijamii ya JS Forms.

Screenshot_20220715-105521_1.jpg
Screenshot_20220715-105521_1.jpg
Screenshot_20220715-100532_1.jpg

 
Maonesho na mnada wa ng'ombe yananza leo julai 15,2022 na yataisha julai 17,2022.

Yanafanyikia Ubena zomozi, kilometa chache kutoka Chalinze kama unaelekea Morogoro kwenye viwanja vya Highland estates ambavyo vipo pembeni ya barabara ya Morogoro, upande wa kulia Kama unaenda Morogoro.

Wote mnakaribishwa,mtapata fursa ya kujifunza masuala mbalimbali kuhusu ufugaji bora wa ng'ombe wa nyama na aina mbalimbali za ng'ombe wa nyama.

Pia utapata fursa ya kukutana na wafugaji waliofanikiwa, mabenk, taasisi mbalimbali zinazoshughulika na ufugaji wa ng'ombe wa nyama nk.

Kwa taarifa zaidi tembelea kurasa za mitandao ya kijamii ya JS Forms.


Tunaomba mrejesho kuhusu haya maonyesho kwa sie ambao hatukupata bahati ya kwenda...ikiwa na picha itapendeza zaidi!
 
Nimeona minada mingi ya Ng’ombe kama Zimbabwe na South Africa na hata Ulaya jamaa wanajitahidi sana kwa kutunza Ng’ombe zao
Yaani unakuta wana mpaka 1000 kg wengine na zaidi ingawa ni mbegu ila pia matunzo

Mkuu Naomba uambatanishe na picha kidogo ila tuhamasike na kujua tunakuja kuona Ng’ombe wa aina gani
 
Back
Top Bottom