JS Dairy Farm
JF-Expert Member
- Feb 13, 2022
- 305
- 679
Maonesho na mnada wa ng'ombe yananza leo Julai 15, 2022 na yataisha Julai 17, 2022.
Yanafanyikia Ubena Zomozi, kilometa chache kutoka Chalinze kama unaelekea Morogoro kwenye viwanja vya Highland estates ambavyo vipo pembeni ya barabara ya Morogoro, upande wa kulia Kama unaenda Morogoro.
Wote mnakaribishwa,mtapata fursa ya kujifunza masuala mbalimbali kuhusu ufugaji bora wa ng'ombe wa nyama na aina mbalimbali za ng'ombe wa nyama.
Pia utapata fursa ya kukutana na wafugaji waliofanikiwa, mabenk, taasisi mbalimbali zinazoshughulika na ufugaji wa ng'ombe wa nyama nk.
Kwa taarifa zaidi tembelea kurasa za mitandao ya kijamii ya JS Forms.
Yanafanyikia Ubena Zomozi, kilometa chache kutoka Chalinze kama unaelekea Morogoro kwenye viwanja vya Highland estates ambavyo vipo pembeni ya barabara ya Morogoro, upande wa kulia Kama unaenda Morogoro.
Wote mnakaribishwa,mtapata fursa ya kujifunza masuala mbalimbali kuhusu ufugaji bora wa ng'ombe wa nyama na aina mbalimbali za ng'ombe wa nyama.
Pia utapata fursa ya kukutana na wafugaji waliofanikiwa, mabenk, taasisi mbalimbali zinazoshughulika na ufugaji wa ng'ombe wa nyama nk.
Kwa taarifa zaidi tembelea kurasa za mitandao ya kijamii ya JS Forms.