Manumba alazwa ICU Aga Khan

Awaambie Tiss wakamtibu apone! Kilichowafanya wamkimbizie agha khan ni nini? Wangempeleka Muhimbili!!! R.I.P
 
Ana TAKE nyingi nyingi, lol
Naona "YOUR TAKE" inabadilika kila sekunde.
Ungeiacha ile ile ya mwanzo ambayo inaonesha rangi zako halisi. By the way mie ni MWANAUME, sio DADA.
 
Kwa vyovyote vile yafaa sisi wanadamu tuwatendee wema wanadamu wenzetu ili siku tutakapokuwa tunuaga ulimwengu huu tuuage kwa amani, tukumbuke kilichofungwa duniani na mbiguni kimefungwa.
 
..eeeh Mwenyezi Mungu, mwingi wa rehema na upendo...uwasamehe woote waliotoa comment humu JF za kumuombea kifo Manumba. maana Wewe ndiye Mhukumu wa Haki! wote tuseme Amen...
 
hakuna atakayekwepa kifo. kila mtu atakwenda kwa ahadi yake. kama hawa mapolisi ni wakosaji tofauti yao na sisi ni ipi? wao kwa ukaidi wetu tunaona wanatenda mabaya dhidi yetu kwa vitendo. sisi kwa nia zetu mioyo yetu inawawazia mabaya kiasi cha kuwaombea kifo .tofauti yetu na wao nini? kumbe sote tu wabaya ktk dunia hii, tumekosa nafasi tu vinginevyo tungekuwa nafasi zao nadhani ubaya wetu ungekuwa juu saana. maana kumuombea mtu kifo ni nafasi ya shetani.
 

Rest In Peace Manumba tupate mbadala wa kuwashughulikia mafisadi
 

Nikisikia shida za viongozi huwa ninajiuliza kwanini walitutendea uovu kwani hawakujua sote hapa duniani ni wapangaji tu?

Psalms 37: 13-14

"The wicked plots against the just, and gnashes at him with his teeth.

The LORD laughs at the wicked because He knows his days are numbered........"
 
Ukihukumu ujue ipo siku utahukumiwa, japo hutajua ni lini.
 
si wengine huwa wanawapeleka India, huyu ndo kusema serikali haina hela? Aishi ili aone mengi

emergency haina india ndugu. Huwa wanawadharau tu madoctor wetu. Muulize Miraji, alijikuta tu yuko mikononi mwa madoctor waliowatukana na baba yake.
 


Hata malaria mtu inabidi aende kutibiwa nje ya nchi kweli??
 
Mungu siku zote ni mwema sana, atamponya KAMANDA ili apate muda wa kutubu kwa yale aliowatendea WATANZANIA... Dhambi haiui bali inatesa ili umrudie MUUMBA wako.... Manumbu Mungu akuponye haraka ili nawe umurudie yeye HARAKA. Amin
 
ARV kwa huyo mzee zimedunda safari hii mana long time anauugua hako kaugonjwa ka kukosa kinga za mwili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…