Manumba alazwa ICU Aga Khan

Manumba alazwa ICU Aga Khan

Mkuu, kifo hakina formula.Mtamuombea mwenzio afe ukaishia kutangulia wewe.
Matukio kama haya hutukumbusha wanadamu kuwa hakuna mwenye mkataba na Mungu humu duniani na hivyo ni vema kuishi tukikumbuka kuwa wenyeji wetu ni Mbinguni! Kwa hiyo viburi vya uzima, pesa n.k ni vya kibinadamu zaidi. Inatupasa kukumbuka Mungu yupo na anatenda kazi Usiku na Mchana. Ugua pole Kamanda.
 
Ni malaria kweli au mambo yetu yale?
Kwanini wasimpeleke haraka India?
Ila niliwahi kusikia India hawapokei wateja wa madabida.

*Watanzania wanyonge tunaochukia vitendo vyake vya kulinda mafisadi na wauaji tunamtakia DCI Manumba afya njema na maisha marefu.

Wbongo tuna mipasho na mdongo ya kiutu uziama mmmmh..hya hope ww katika familia yako hakuna "wateja" wa Madabida
 
Mimi nashangaa tu hao "wadudu" 500! Nakumbuka ni hapo hapo Aga Khani waliweza kuona wadudu wa idadi hiyo kwa Kamanda ZZK!

Kama hizo idadi za wadudu ni za kweli na kama idadi ya wadudu ni proportion na ukuwa wa malaria then naweza kuelewa mtu akiwa mahututi. Maana ukiwa na wadudu hata 3 tu, huwa wanasumbua sana mwili sasa ikiwa 500 ni balaa!

katika volume ipi?
 
katika volume ipi?
Sina uhakika. Lakini naamini kwa sisi "laymen" tunasema tu idadi ya wadudu (2,3 au 500) bila kusema ni katika volume ipi (ya damu?) - naamini pengine reference ya "volume" ni ileile ndio maana mara nyingi inakuwa irelevant kuitaja.
 
Akina mama wajawazito vijijini wanapoteza maisha kwa kukosa tiba bora kwasababu ya serikali hii isiyowajali wananchi wake.Hii ni dhuluma kubwa sana.Lakini huyu kaugua Malaria tu,serikali yote inahaha.Mungu atawaadhibu siku yaja.
Manumba alazwa ICU Aga Khan

HALI ya Mkurugenzi wa Makosa ya Jinai, DCI Robert Manumba ni mbaya na amelazwa katika Hospitali ya Aga Khan, kwenye wodi ya wgonjwa Mahututi (ICU) jijini Dar es Salaam akisumbuliwa na ugonjwa wa malaria.

Kwa mujibu wa taarifa zilizonaswa na Habarimpya.com hivi punde ni kwamba Manumba amelazwa katika Hospitali hiyo tangu juzi.
Hata hivyo vyanzo vya kuaminika ndani ya Jeshi la Polisi nchini zinadai kwamba hali ya Mkurugenzi huyo wa makosa ya jinai nchini ni mbaya.......

MY TAKE:
Eah Mwenyezi Mungu Msaidie Kiumbe wako huyu apone haraka aje atutumikie Watanzania kama alivyotutumikia Jana na juzi na kesho afanye hivyo,
Umzidishie maisha marefu aishi ili aine kesho na kesho kutwa.
Amin!
 
kilieleza chanzo hicho cha habari ndani ya jeshi hilo.
Msemaji wa Jeshi la Polisi, Advera Senso


Kuuliza siyo ujinga, kwani huyu msemaji wa jeshi la police ni HE or SHE
 
mbona hamtupi update anaendeleaje?

Piga namba hizi za hawa police jamii, watakupa update

NAMBA ZA SIMU ZA MAKAMANDA TANZANIA (RPCs)
MKOA JINA LA KAMANDA SIMU

Arusha ACP Liberatus Sabas 0713 269 232
Dodoma ACP David Misime 0754 470 959
Manyara ACP Akilimali Mpwapwa 0658 777 778
Mwanza SACP Ernest J. Mangu 0754 262 861
Kagera ACP Philip Kalangi 0754 746 958
Mbeya ACP Diwani Athumani 0787 323 444
Kigoma ACP Frasser Kashai 0787 453 156
Kilimanjaro ACP Robert Boaz 0784 864 212
Tabora ACP Anthon Ruta 0784 368 619
Lindi ACP George Mwakajinga 0784 362 279
Pwani ACP Ulrich Matei 0658 44 44 88
Iringa SACP Michael Kamuhanda 0754 242 515
Rukwa ACP Jacob Mwaruanda 0753 595 733
Morogoro ACP Faustine Shilogile 0754 277 154
Mara SACP Absalom Mwakyoma 0754 293 349
Singida ACP Linus Sinzumwa 0757 760 430
Mtwara ACP Mary Nzuki 0754 339 558
Tanga ACP Costantine Massawe 0713 510 856
Shinyanga ACP Evarest Mangala 0754 170 377
Ruvuma ACP Deusdednt Nsimike 0765 850 830
Tarime- Rorya ACP Jastus Kamugisha 0784 508 090
Simiyu ACP Salum Msangi 0754 370 730
Njombe ACP Furgence Ngonyani 0784 593 326
Ilala ACP Marietha Minangi 0787 637 172
Temeke ACP Engelbert Kiondo 0763 04 40 00
Geita ACP Leonard Paul 0754 837 526
Katavi ACP Dhahiri Kidavashari 0658 777 778
Kinondoni ACP Charles Kenyela 0784 820 033
Kaskazini Pemba SACP Yahaya Mohamed Salehe 0777 429 365
Kusini Pemba ACP Hassan Nassir Ally 0777 425 353
Kaskazini Unguja ACP Ahamad .H. Hamisi 0777 474 601
Kusini Unguja ACP Augostino Ulomi 0786 662 099
Mjini Magharibi ACP Aziz.J.Mohamed 0777 414 488
 
--- vijidudu 500 vya malaria uuuuuuwiiiiii.....

????????!!!!!!!!((())).

Waafrika hatuna tabia ya kujua hali yetu ya afya hadi tuumwe..... 6 months general body check-up haipo.... i'm sure hata JK hafanyi hii..... mm nafanya.....
 
Ni SHE ila ana NDEVU.... utajaza mwenyewe.... sijasema semenya..... ukiwaza unaruhusiwa.... ila usiseme...!!???


kilieleza chanzo hicho cha habari ndani ya jeshi hilo.
Msemaji wa Jeshi la Polisi, Advera Senso


Kuuliza siyo ujinga, kwani huyu msemaji wa jeshi la police ni HE or SHE
 
Piga namba hizi za hawa police jamii, watakupa update

NAMBA ZA SIMU ZA MAKAMANDA TANZANIA (RPCs)
MKOA JINA LA KAMANDA SIMU

Arusha ACP Liberatus Sabas 0713 269 232
Dodoma ACP David Misime 0754 470 959
Manyara ACP Akilimali Mpwapwa 0658 777 778
Mwanza SACP Ernest J. Mangu 0754 262 861
Kagera ACP Philip Kalangi 0754 746 958
Mbeya ACP Diwani Athumani 0787 323 444
Kigoma ACP Frasser Kashai 0787 453 156
Kilimanjaro ACP Robert Boaz 0784 864 212
Tabora ACP Anthon Ruta 0784 368 619
Lindi ACP George Mwakajinga 0784 362 279
Pwani ACP Ulrich Matei 0658 44 44 88
Iringa SACP Michael Kamuhanda 0754 242 515
Rukwa ACP Jacob Mwaruanda 0753 595 733
Morogoro ACP Faustine Shilogile 0754 277 154
Mara SACP Absalom Mwakyoma 0754 293 349
Singida ACP Linus Sinzumwa 0757 760 430
Mtwara ACP Mary Nzuki 0754 339 558
Tanga ACP Costantine Massawe 0713 510 856
Shinyanga ACP Evarest Mangala 0754 170 377
Ruvuma ACP Deusdednt Nsimike 0765 850 830
Tarime- Rorya ACP Jastus Kamugisha 0784 508 090
Simiyu ACP Salum Msangi 0754 370 730
Njombe ACP Furgence Ngonyani 0784 593 326
Ilala ACP Marietha Minangi 0787 637 172
Temeke ACP Engelbert Kiondo 0763 04 40 00
Geita ACP Leonard Paul 0754 837 526
Katavi ACP Dhahiri Kidavashari 0658 777 778
Kinondoni ACP Charles Kenyela 0784 820 033
Kaskazini Pemba SACP Yahaya Mohamed Salehe 0777 429 365
Kusini Pemba ACP Hassan Nassir Ally 0777 425 353
Kaskazini Unguja ACP Ahamad .H. Hamisi 0777 474 601
Kusini Unguja ACP Augostino Ulomi 0786 662 099
Mjini Magharibi ACP Aziz.J.Mohamed 0777 414 488
na wewe mbona aliyeleta thread hajasema kuwauliza hao watu
 
Laana ya kumtesa Ulimboka, kutochunguza mauaji ya Mwangosi na mashujaa wengine waliouawa bila hatia, tunakuombea upone ili utubu dhambi zako.
 
Angalau Mungu atamkumbusha huko aliko kwa muda kuwa kuna madudu mengi amefanya yeye na wenzie wa PCCB katika kulisaidia taifa.. Apone aje ajirudi kimaadili na kivitendo. Otherwise, POLE.
 
Mwenyezi MUNGU akujalie SIHA njema kamanda!!
bt viongozi wote wanatakiwa kutambua watanzania ni watu wenye huruma na mapenzi makubwa na wasio na visasi hivyo fadhila yao(viongozi) ni kuwatendea kwa haki watanzania kama wao wanavotendewa.
 
kumpeleka india kwenda kutibiwa malaria ni zarau kubwa kwa madaktari wetu kwa kweli. Mungu ampe nafuu
 
Back
Top Bottom