Jamani tuache uzushi basi!
Mbona sijaona mahala K.A.M alipomwombea kifo huyu ndugu? Au macho yangu? Mbona kamwombea kwa MUNGU ampiganie ili apone haraka?!! Au ndugu wewe una ugomvi na K.A.M?
Sio uzushi!
Umechelewa kusoma thread ndugu yangu. Wewe unasoma leo wakati thread imewekwa jana, huwezi kujua aliandika nini. Hatuwezi kukurupuka kumlaumu kama maandishi ndio hayo yanayoonekana, tungemuunga mkono. Amehariri lile eneo ambalo
alimtakia kifo chema huyu afande, ndio sababu pale chini ya thread yake kuna neno ...
edited by.... MODS pia wamemsaidia kuhariri lile eneo ambalo tulimnukuu hiyo jana! Sio muungwana kabisa huyu jamaa.