Manumba alazwa ICU Aga Khan

Manumba alazwa ICU Aga Khan

Breaking News: Manumba alazwa ICU Aga Khan
HALI ya Mkurugenzi wa Makosa ya Jinai, DCI Robert Manumba ni mbaya na amelazwa katika Hospitali ya Aga Khan, kwenye wodi ya wgonjwa Mahututi (ICU) jijini Dar es Salaam akisumbuliwa na ugonjwa wa malaria.

Kwa mujibu wa taarifa zilizonaswa na Habarimpya.com hivi punde ni kwamba Manumba amelazwa katika Hospitali hiyo tangu juzi.
Hata hivyo vyanzo vya kuaminika ndani ya Jeshi la Polisi nchini zinadai kwamba hali ya Mkurugenzi huyo wa makosa ya jinai nchini ni mbaya.......





Inadhirisha ni jinsi gani ulivyo na upungufu wa kimawazo; unaweza kufa wewe mzima ukamuacha Manumba; wapo viongozi wengi ndani ya jeshi la polisi wana uwezo kuishika nafasi hiyo bila wasiwasi wowote; kwa hiyo dua lako ni kupoteza muda.

Chama
Gongo la mboto DSM
 
akiwa apo ICU aoneshwe picha za Mwangosi, tusikie anasemaje. Huenda tukamsamehe makosa aliofanya!
 
Too low!
ukiachilia mbali kutowajibika kwake, una ugomvi wowote na huyu ndugu hadi umuombee kifo? Unajua siku ya kufa kwako?

hakun anayejua siku ya kufa kwake,
ila kwahuyu nite jina lolote thats my OPINION au sikuhizi inakatazwa kutoa mawazo yako?
na wewe toa yakwako DADA.
 
Inadhirisha ni jinsi gani ulivyo na upungufu wa kimawazo; unaweza kufa wewe mzima ukamuacha Manumba; wapo viongozi wengi ndani ya jeshi la polisi wana uwezo kuishika nafasi hiyo bila wasiwasi wowote; kwa hiyo dua lako ni kupoteza muda.

Chama
Gongo la mboto DSM

Kama kuishika kwenyewe ni kwa stahili hiyohiyo ya kulinda UFISADI ambao unakunufaisha wewe huko UGHAIBUNI ndio maaan povu linakutoka hapa.
Potelea mbali yeyeyote aje lakini my wish ndio hiyo, sawasawa DADA.
 
watu mnaongea kinafiki eti kibanga ana roho mbaya kumuombea kifo..ingekuwa nchemba mngemshambulia hivyo..mimi niko indefferent,.akipona heri asipopona hamna tatizo.,life goes on
 
Agakhani!!!!India jee????Si ndio hawa wanapaswa kupelekwa huko???
 
Breaking News: Manumba alazwa ICU Aga Khan
HALI ya Mkurugenzi wa Makosa ya Jinai, DCI Robert Manumba ni mbaya na amelazwa katika Hospitali ya Aga Khan, kwenye wodi ya wgonjwa Mahututi (ICU) jijini Dar es Salaam akisumbuliwa na ugonjwa wa malaria.

Kwa mujibu wa taarifa zilizonaswa na Habarimpya.com hivi punde ni kwamba Manumba amelazwa katika Hospitali hiyo tangu juzi.
Hata hivyo vyanzo vya kuaminika ndani ya Jeshi la Polisi nchini zinadai kwamba hali ya Mkurugenzi huyo wa makosa ya jinai nchini ni mbaya.......




]
Adui yako muombee aishi muda mrefu ili ashuhudie unavyofanikiwa...

mkuu nimeipenda hii na naichukua
 
kibanga ampiga mkoloni ni malaria kweli au ndiyo mambo yetu yale???? Yote kwa yote tunakutaka upone ili uendelee na shughuli zako za kila siku.
 
Last edited by a moderator:
Too low!
ukiachilia mbali kutowajibika kwake, una ugomvi wowote na huyu ndugu hadi umuombee kifo? Unajua siku ya kufa kwako?

Duh,unamuombe mwenzako afe? Wewe sio binadamu. Amekukosea nini mpaka useme hivyo?

kibanga Ampiga Mkoloni, Wewe ndio una roho ya kinyama kabisa! ni sidhani kama una imani yoyote Juu ya Mungu! kwani uliambiwa kufa ni adhabu? jipange upya!

umeanza vizuri unamaliza vibaya.....!!!mwanadamu ni mwanadamu,hata akiwa mbaya vipi hawezi kuwa shetani hata akiwa mzuri vip hawez kuwa malaika....

Mkuu, kifo hakina formula.Mtamuombea mwenzio afe ukaishia kutangulia wewe.

Huyu kamuweka ndani SHEIK wetu mpaka leo ansota sasa ngoja cha moto akione na leo tunaenda kuongeza UBANI.
Kama wewe unauchungu saan JINYONGE au MFUATE.
 
Daa apa wacha nipite tu, make mod maeneo kama haya hawachelewagi kunigonga nyundo
 
Sasa ndiyo muda mwafaka wa kukumbuka kazi yake kwa Watanzania.............. kama atafanikiwa kurudi salama basi ajaribu kurekebisha makosa!!
 
Back
Top Bottom