Thanks my brother Erickb52. Mungu Mwenyezi ni Mkuu, kayabadili maisha yangu ndani ya nafsi na nje pia, pia katika jamii ninayo ishi na hata ndani ya JF. Nami pia nina washukuru member kwa uvumilivu wao kwangu hadi leo hii nina sema asante sana. Japo tunatumia avatar na majina sio halisi lakini asilimia kubwa tuyafanyayo na kuya tenda hapa yana weza ku reflect katika maisha yetu ya kawaida.
Karibu.
Umechelewa hadi nimesahau nilitaka kukuambia nini!
Ungekuwa karibu ningekupiga lager za kutosha.
Watu humu hawajui mtu unaweza kuwa na rafiki wa ku chill tu.
Usipate shaka...wakati wowote ni wakati wa lager....zirushe kipande hii tuchangie kodi...
here i am mpendwa
Nilikuwa kwenye ulinzi shirikishi...nimeamka na ndofu zimeisha kwa head...!
Haya sema Mamndenyi kakuhurumia?
Yan wewe unadtahili huruma tu