Manoah ni mfano wa Kuigwa JF

Manoah ni mfano wa Kuigwa JF

Yan mwanzo nilikuonea wewe ila kwa Dena Amsi mi zaidi

We Erickb52 ni ndugu yangu ila ni mzee wa majungu mpaka yamejichora usoni aise
We badala ya kujenga ndoa yangu unaibomoa kabisa
Dena Amsi usiwasikilize hawa na wanatuonea wivu tunavyopendana
Na hizo picha sio za kweli hapo nilikuwa nampa sweetlady huduma ya kwanza aliishiwa pumzi kwenye mazoezi ya kwaya
 
Last edited by a moderator:
Si unajua system ya Invisible,
Ukitajwa tu king'ora kinalia. lol

Asante na kwako pia mpendwa wangu.
Umepotea kweli sijui ulifichwa/ulijificha wapi?

hata mie nilikuwa sijijui kama nimefichwa ila leo nikajua kuwa Smile alinificha kwa kumtumia yule mganga wake maarufu Erickb52.... lakini si unajua I AM UN-LOGEKI niko huru now.... za siku nyingi?
 
Last edited by a moderator:
We Erickb52 ni ndugu yangu ila ni mzee wa majungu mpaka yamejichora usoni aise
We badala ya kujenga ndoa yangu unaibomoa kabisa
Dena Amsi usiwasikilize hawa na wanatuonea wivu tunavyopendana
Na hizo picha sio za kweli hapo nilikuwa nampa sweetlady huduma ya kwanza aliishiwa pumzi kwenye mazoezi ya kwaya

hilo linaitwa chozi la mtu mzima!!
 
We Erickb52 ni ndugu yangu ila ni mzee wa majungu mpaka yamejichora usoni aise
We badala ya kujenga ndoa yangu unaibomoa kabisa
Dena Amsi usiwasikilize hawa na wanatuonea wivu tunavyopendana
Na hizo picha sio za kweli hapo nilikuwa nampa sweetlady huduma ya kwanza aliishiwa pumzi kwenye mazoezi ya kwaya
Pole.
Tatizo hujatulia
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom